Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wabakaji waongezwa adhabu Tunisia

Polisi wawili nchini Tunisia walioshitakiwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya gari la polisi, wameongezewa adhabu katika kesi iliyowashtua wengi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wabakaji wapewe adhabu kali

Suala la kuwabaka wanafunzi haliko tu Kenya bali pia Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Tunayo mifano  mingi ya watu wazima wenye uwezo wa kifedha na pia wenye madaraka makubwa ya kiofisi wanaowarubuni wanafunzi  kwa kuwapa pesa kidogo au vitu vidogo vidogo ili  wafanye nao ngono. Hivi karibuni wanafunzi wa sekondari nchini Siera Leone, nchi iliyokumbwa na ugonjwa wa ebola, walikubwa na dhahama hii wakati wakiwa nyumbani baada ya shule kufungwa kwa kipindi kirefu. Wasichana hawa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waongezwa mishahara Brazil

Brazil itawapa nyongeza ya asilimia 15.8 ya mishahara polisi wake ili wasigome wakati wa ufunguzi wa kombe la dunia

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na magaidi Tunisia

Vikosi vya usalama vimeizingira nyumba ambapo afisa wa polisi na washukiwa 2 wanaotuhumiwa kuwa wapiganaji wa kiislamu waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanne wauawa Tunisia

Tunisia imesema kuwa polisi wanne wameuawa kwenye shambulizi lilitokea katika mkoa wa Kasserine uliopo karibu na mpaka na Algeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi:Kamanda wa polisi atimuliwa Tunisia

Waziri Mkuu wa Tunisia, Habib Essid, amewaachisha kazi makamanda wa polisi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Toeni ushahidi wa wabakaji mahakamani’

MRATIBU wa mtandao wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji kijinsia Jeshi la Polisi Makao Makuu, Hasina Ramadhan Toufik ameitaka jamii kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaotuhumiwa kubaka ili kukomesha matukio hayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha jela kwa wabakaji Misri

Wananume saba wafungwa maisha jela na wengine 2 kupata kifungo cha miaka 20 au zaidi kila mmoja kwa kuwadhulumu kingono wanawake

 

11 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya wanajeshi wabakaji DRC leo

Hukumu inatarajiwa kutolewa baadaye leo ya kesi ya wanajeshi 39 wanaotuhumiwa kuendesha ubakaji na uhalifu wa kivita DRC.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .

Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani