Ugaidi:Kamanda wa polisi atimuliwa Tunisia
Waziri Mkuu wa Tunisia, Habib Essid, amewaachisha kazi makamanda wa polisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO




Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...
11 years ago
Michuzi.jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
.jpg)
10 years ago
GPL
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Raia waandamana kupinga ugaidi Tunisia
Tunisia inasema kuwa askari wa usalama wamemuuwa kiongozi wa kundi la wapiganaji, lilohusika na shambulio la makavazi
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi
Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
Marekani imekuwa ikimsaka mwanamgambo huyo wa kijihadi, lakini haijatoa tamko lolote kuhusiana na kifo chake.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
Na Fakih Mapondela wa Tabora Police Press
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda Alhamisi tarehe 20/03/2014 alifanya ziara katika manispaa ya Tabora na kukutana na kikundi shirikishi (Sungusungu) na kukipatia mafunzo mbalimbali ya ulinzi shirikishi na ukamataji salama wa watuhumiwa pamoja na kukipa somo la dhana ya Polisi jamii.
Kamanda Kaganda akiwa katikati ya Sungusungu kuonesha mbinu bora za ukamataji salama wa watuhumiwa
Kamanda Kaganda akiwa katika harakati za kutoa...
.jpg)
.jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu
Kamanda wa polisi katika mji wa Ferguson, Marekani amejiuzulu baada ya ripoti ya shirikisho kulaumu kitengo chake kina ubaguzi.
10 years ago
GPL
MTUHUMIWA UGAIDI ANASWA NA POLISI!
Mtuhumiwa huyo akiwa kituoni. Na Makongoro Oging’ HALI tete! Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke, Dar lilifanikiwa kumdhibiti mtu mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja kufuatia madai ya kuvamia Kituo cha Polisi Charambe akiwa na panga. Habari zilizopatikana kutoka kwa raia wa eneo hilo ambao walimtafsiri mtu huyo kama gaidi kutokana na ujasiri wake wa kuvamia kituo kwa mapanga kwa lengo la kutaka kuwajeruhi askari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania