Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia waandamana kupinga ugaidi Tunisia

Tunisia inasema kuwa askari wa usalama wamemuuwa kiongozi wa kundi la wapiganaji, lilohusika na shambulio la makavazi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Jordan waandamana kupinga IS

Maelfu ya raia wa Jordan wameandamana mjini ,Amman,wakiunga mkono serikali yao katika vita dhidi ya kundi la Islamic State

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga sera,Ubelgiji

Polisi mjini Belgian nchini Ubelgiji wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ili kuwatawanya waandamanaji wanaopinga sera

 

9 years ago

Mwananchi

Waandamana kupinga kupunguzwa kazini

Wafanyakazi wa kampuni ya TanzaniteOne wameandamana kupinga uongozi wa kampuni hiyo kutaka kuwapunguza wafanyakazi 635 bila taratibu za kisheria, kwa madai kuwa wanajiendesha kwa hasara na wao kupoteza haki zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga kodi ya mtandao

Maandamano nchini Hungary yanaendelea dhidi ya mpango wa serikali wa kutaka kuwatoza kodi wanaotumia mtandao

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi waandamana kupinga uvamizi

ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga mauaji Bangladesh

Mamia ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka, kupinga mashambulio yaliyofanywa jana dhidi ya mchapishaji

 

9 years ago

Mwananchi

Wachimbaji waandamana kupinga unyanyasaji

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (WanaApolo) 500 wa Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, wameandamana kudai kupinga kitendo cha wawekezaji wa Kampuni ya TanzaniteOne kuteka migodi yao.

 

10 years ago

Habarileo

Waandamana kupinga kuhamishwa eneo la CN

WAFANYABIASHARA wa daladala zinazofanya safari zake kati ya Bunda na Musoma, waendesha bodaboda na wajasiriamali wakiwemo mama lishe, juzi waliandamana na kwenda kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda, wakipinga kitendo cha kuhamishwa eneo la CN, lililoko mjini Bunda wanakofanyia biashara yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waeritrea waandamana kupinga udhalimu

Raia wa Eritrea wameandamana nje ya majengo ya Umoja wa Afrika huko Ethiopia wakipinga mateso chini ya utawala wa rais Isaias Afeworki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani