Polisi wanne wauawa Tunisia
Tunisia imesema kuwa polisi wanne wameuawa kwenye shambulizi lilitokea katika mkoa wa Kasserine uliopo karibu na mpaka na Algeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.
Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba.
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Watalii wauawa Tunisia
10 years ago
BBCSwahili25 May
Wanajeshi 7 wauawa Tunisia
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia
11 years ago
Habarileo19 Mar
Wanne wauawa wakituhumiwa kuiba
WATU wanne wameuawa na kundi la watu wasiojulikana, wakituhumiwa kuiba ng’ombe katika Kijiji cha Igwambiti Kata ya Buhongwa, jijini hapa. Mtendaji wa Kata ya Buhongwa, Benedict Kabadi alisema alipokea taarifa za kuwepo kwa mauaji hayo jana asubuhi na kwamba alipofika katika eneo la tukio, aliikuta miili ya watu watatu waliouawa.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Wanne wauawa kikatili Bukoba
MAUAJI ya kikatili yameibuka tena wilayani Bukoba mkoani Kagera baada ya watu wasiofahamika kusababisha vifo vya watu wanne waliokatwakatwa mapanga na miili yao kufunikwa kwa majani ya migomba, Polisi imesema.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YskyMbZdInhplXf8OytOrwORi4tSkdXuPucTANLGcd3-gGu-rrxOFun4A4qKxptkyYUKdDzhR8zaiGaigo00KE/mombasa.jpg?width=650)
WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wanajeshi wanamaji wanne wauawa Marekani
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wanne wauawa kwa tuhuma za wizi
WATU wanne wameuawa kwa kupigwa marungu, kuchomwa mikuki na miili yao kuteketezwa kwa moto wilayani Sengerema, Mwanza wakituhumiwa kuwa wezi. Watu hao huku wawili kati yao ni ndugu, waliuawa na...