Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wanamaji wanne wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la maji Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Equifax: Marekani yawashtaki wanajeshi wanne ''wadukuzi'' wa Kichina

Marekani imewashitaki maafisa wa kijeshi wa Marekani juu ya mashambulio ya kimtandao dhidi ya kampuni kubwa ya utoaji wa mikopo Equifax.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawili wa Marekani wauawa Jordan

Wanajeshi wawili wa Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi katika kituo cha kutoa mafunzo kwa maafisa wa polisi nje ya mji wa Amman.

 

10 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni

 Wanajeshi wa Korea wakionesha ukakamavu kwenye zoezi la  mapigano ya mikono mitupu Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoezi ya nguvu Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoezi ya nguvu Mkuu wa operesheni na utendaji kivita wa JWTZ, Meja Jenerali James Mwakibolwa, (Wapili kulia), akitazama silaha ya kivita, wakati wa maonyesho ya zana za kijeshi na uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wanajeshi wanne wajeruhiwa Tanga

Magari ya polisi yakiwa katika eneo la tukio.ASKARI sita wakiwemo wanne wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wamejeruhiwa vibaya kwa risasi wakati wa mapigano baina yao na watu wanaodhaniwa kuwa wahalifu wakati wa msako maalumu wa kutafuta silaha zinazodaiwa kufichwa kwenye moja ya eneo la mapango ya Amboni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani