Wanajeshi wawili wa Marekani wauawa Jordan
Wanajeshi wawili wa Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi katika kituo cha kutoa mafunzo kwa maafisa wa polisi nje ya mji wa Amman.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wanajeshi wauawa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wanajeshi wanamaji wanne wauawa Marekani
Mtu mwenye silaha amewaua askari wanne wa jeshi la maji Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika mji wa Chattanooga, Tennessee.
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
Maafisa wawili wa polisi mjini New York Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi walipokuwa ndani ya gari lao eneo la Brooklyn.
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Wanajeshi 2 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wawili wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu katika kituo kimoja cha kijeshi mashariki mwa nchi.
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan
Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wauawa Afghanistan
Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania