Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watalii wauawa Tunisia

Takriban watalii saba wa kigeni na raia mmoja wa Tunisia wameuawa baada ya wapiganaji kulenga jengo la kumbukumbu Tunisia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya watalii waondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wameondoka nchini Tunisia kufuatia shambulizi la siku ya Ijumaa ambapo watu 38 waliuawa wengi kutoka ulaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wa Uingereza kuondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wanajiandaa kuondoka nchini Tunisia kufuatia onyo kutoka kwa serikali ya Uingereza kwamba huenda kukatokea shambulio jingine la kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanne wauawa Tunisia

Tunisia imesema kuwa polisi wanne wameuawa kwenye shambulizi lilitokea katika mkoa wa Kasserine uliopo karibu na mpaka na Algeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wawapora watalii 17

Kundi la watu wanaoaminika ni majambazi wakiwa na bunduki wamevamia Hoteli ya kitalii ya Weruweru River Lodge iliyopo wilayani Hai na kuwapora watalii fedha na vitu vingine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii 17 wavamiwa hotelini

KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii kupungua Zanzibar

KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema  hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii watapeliwa Kilimanjaro

WATALII   wanane  raia wa Australia waliokuwa nchini kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio vya utalii katika visiwa vya Zanzibar, wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kutapeliwa zaidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani