Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi wawapora watalii 17

Kundi la watu wanaoaminika ni majambazi wakiwa na bunduki wamevamia Hoteli ya kitalii ya Weruweru River Lodge iliyopo wilayani Hai na kuwapora watalii fedha na vitu vingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wauawa Tunisia

Takriban watalii saba wa kigeni na raia mmoja wa Tunisia wameuawa baada ya wapiganaji kulenga jengo la kumbukumbu Tunisia

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii kupungua Zanzibar

KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema  hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii 17 wavamiwa hotelini

KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii watapeliwa Kilimanjaro

WATALII   wanane  raia wa Australia waliokuwa nchini kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio vya utalii katika visiwa vya Zanzibar, wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kutapeliwa zaidi...

 

11 years ago

Habarileo

Watalii waongezeka Hifadhi ya Tarangire

IDADI ya watalii wa nje na ndani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka katika Hifadhi ya Tarangire iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara.

 

10 years ago

BBCSwahili

UK: Huenda watalii zaidi wakashambuliwa

Uingereza imeonya kuwa wapiganaji waislamu wanaweza kufanya mashambulio mengine dhidi ya watalii nchini Tunisia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wa Uingereza kuondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wanajiandaa kuondoka nchini Tunisia kufuatia onyo kutoka kwa serikali ya Uingereza kwamba huenda kukatokea shambulio jingine la kigaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafugaji wateketeza kambi ya watalii

Wafugaji wa Kabila la Wamasai, wameteketeza kwa moto kambi ya kifahari ya watalii ya Ndarakwai iliyopo wilayani Siha yenye vibanda 16 vyenye hadhi sawa na vyumba vya hoteli ya nyota nne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi

Watalii waliopiga picha za uchi wakiwa mlimani wanalaumiwa kwa tetemeko la ardhi lililokumba Malaysia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani