Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UK: Huenda watalii zaidi wakashambuliwa

Uingereza imeonya kuwa wapiganaji waislamu wanaweza kufanya mashambulio mengine dhidi ya watalii nchini Tunisia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA

  Shirika la Afya Duniani, WHO, limeonya kwamba bara la Afrika huenda likawa na idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Corona. 

WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'

Maafisa wa afya wa ngazi ya juu wa nchini Marekani wameonya wimbi jipya la maambukizi ya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini

Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sisi huenda atawania Urais

Gazeti moja nchini Kuwait limesema kuwa Kiongozi wa jeshi la Misri Abdel Fattah al Sisi atawania urais katika uchaguzi ujao

 

11 years ago

BBCSwahili

Huenda marufuku ya Suarez itapunguzwa

Wakili wa Luiz Suarez anamatumaini FIFA itapunguza marufuku ya miezi minne aliyopewa kwa kumngata mchezaji .

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez huenda akashiriki El Clasico.

Mshambulizi wa Uruguay na Barcelona huenda akashiriki katika mechi dhidi ya Real Madrid mwezi Oktoba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: MH17 huenda ni Uhalifu wa Kivita

UN yaonya kuwa kutunguliwa kwa MH17 mashariki mwa Ukraine huenda ni uhalifu wa kivita.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA huenda ikaiadhibu Nigeria

FIFA huenda ikaipiga marufuku Nigeria kwa kuingilia usimamizi wa kandanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani