UK: Huenda watalii zaidi wakashambuliwa
Uingereza imeonya kuwa wapiganaji waislamu wanaweza kufanya mashambulio mengine dhidi ya watalii nchini Tunisia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WHO: AFRIKA HUENDA IKAATHIRIKA ZAIDI NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XL3HyK4xcck/XprL1q72lgI/AAAAAAAC3Vg/X_F8bVWII18XW-66RdC5qprmYFk7vXUJACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
WHO inabashiri kuwa hali ikiendelea ilivyo sasa, huenda idadi ya vifo ikafikia 300,000 na watu wengine zaidi ya Milioni 30 kuwa masikini.
Kufikia sasa Afrika ina vifo karibu elfu moja vinavyohusishwa na Corona, huku watu zaidi ya elfu 19 wakiambukizwa ugonjwa huo.
Wakati huo huo Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limetaka Afrika isaidiwe kukabiliana na ugonjwa hatari...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: Wimbi la pili la maambukizi Marekani 'huenda likawa hatari zaidi'
Maafisa wa afya wa ngazi ya juu wa nchini Marekani wameonya wimbi jipya la maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini
Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Sisi huenda atawania Urais
Gazeti moja nchini Kuwait limesema kuwa Kiongozi wa jeshi la Misri Abdel Fattah al Sisi atawania urais katika uchaguzi ujao
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Huenda marufuku ya Suarez itapunguzwa
Wakili wa Luiz Suarez anamatumaini FIFA itapunguza marufuku ya miezi minne aliyopewa kwa kumngata mchezaji .
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Suarez huenda akashiriki El Clasico.
Mshambulizi wa Uruguay na Barcelona huenda akashiriki katika mechi dhidi ya Real Madrid mwezi Oktoba.
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Urusi yasema huenda ikashambulia IS
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
UN: MH17 huenda ni Uhalifu wa Kivita
UN yaonya kuwa kutunguliwa kwa MH17 mashariki mwa Ukraine huenda ni uhalifu wa kivita.
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
FIFA huenda ikaiadhibu Nigeria
FIFA huenda ikaipiga marufuku Nigeria kwa kuingilia usimamizi wa kandanda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania