Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN: MH17 huenda ni Uhalifu wa Kivita

UN yaonya kuwa kutunguliwa kwa MH17 mashariki mwa Ukraine huenda ni uhalifu wa kivita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuchunguza uhalifu wa kivita CAR

Mwendesha mkuu wa mashitaka ICC, Fatou Bensouda, ameanzisha uchunguzi wa katika uwezekano wa kesi ya uhalifu wa kivita katika Jamhuri ya Kati.

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague

1619311_927273563967864_7566706705908247266_n

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).

Na Mwandishi wetu

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.

Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israeli huenda ilitenda uhalifu wa vita

Umoja wa mataifa imeonya kuwa Israili huenda ilitenda uhalifu wa kivita Gaza

 

10 years ago

BBCSwahili

Mh17 ilidunguliwa

ndege ya Malaysia ilikumbwa na kitu chenye ncha na kugongwa mara kadhaa na vifaa vyenye mionzi mikali ndio chanzo cha ajali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya MH17

Kumefanyika maadhimisho ya kuwakumbuka watu walipoteza uhai wao katika ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17, Uholanzi.

 

11 years ago

TZToday

The Israeli System That Could've Saved MH17

 

10 years ago

BBCSwahili

Malaysia yaomboleza abiria wa MH17

Miili ya abiria 20 walioangamia katika mkasa wa ndege ya Malaysia ya MH17 imewasili Kual Lumpur

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Ndege ya Malaysian Airlines MH17 yadunguliwa na kuuwa abiria wote 295

Ndege ya abiria ya shirika la Malaysian Airlines yenye namba MH17 aina ya boeing 777 imeanguka katika eneo la mpaka wa Urusi na Ukraiane, na kusababisha vifo vya abiria wote 295 waliokuwemo kwenye ndege hiyo. Mabaki ya ndege hiyo katika eneo la ajali Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur inadaiwa kuwa imedunguliwa na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani