Picha: Ndege ya Malaysian Airlines MH17 yadunguliwa na kuuwa abiria wote 295
Ndege ya abiria ya shirika la Malaysian Airlines yenye namba MH17 aina ya boeing 777 imeanguka katika eneo la mpaka wa Urusi na Ukraiane, na kusababisha vifo vya abiria wote 295 waliokuwemo kwenye ndege hiyo. Mabaki ya ndege hiyo katika eneo la ajali Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur inadaiwa kuwa imedunguliwa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo524 Jul
Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Malaysian airliner downed in Ukraine war zone, 295 dead reported
Emergencies Ministry members work at the site of a Malaysia Airlines Boeing 777 plane crash in the settlement of Grabovo in the Donetsk region, July 17, 2014. REUTERS/Maxim Zmeyev
By Anton Zverev
GRABOVO Ukraine (Reuters) – A Malaysian airliner was brought down over eastern Ukraine on Thursday, killing all 295 people aboard and sharply raising stakes in a conflict between Kiev and pro-Moscow rebels in which Russia and the West back opposing sides.
Ukraine accused “terrorists” – militants...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
10 years ago
BBCSwahili22 Aug
Malaysia yaomboleza abiria wa MH17
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
9 years ago
Bongo527 Oct
Picha: KCee alipogeuka mhudumu wa ndege kwa kuvaa sare na kuhudumia abiria!
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Ndege ya Malaysia yaua 295 Ukraine
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Waliokufa ndege ya Malaysia wafikia 295
Ndege ya Shirika la Malasyia jana ilitunguliwa mashariki mwa Ukraine na wanajeshi wanaoiunga mkono Russia na kuua watu 295 waliokuwa ndani, ofisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ukraine alisema.
Ndege hiyo ‘Malaysia Airlines’ ilikuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur na ilikuwa juu umbali wa futi 33,000 kutoka usawa wa bahari wakati ikitunguliwa.
Ikizidisha hali ya wasiwasi katika mzozo baina ya Mashariki na Magharibi ukihusisha Kiev na Moscow, ofisa huyo alilaumu “magaidi” kuwa...