Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Ndege ya Malaysian Airlines MH17 yadunguliwa na kuuwa abiria wote 295

Ndege ya abiria ya shirika la Malaysian Airlines yenye namba MH17 aina ya boeing 777 imeanguka katika eneo la mpaka wa Urusi na Ukraiane, na kusababisha vifo vya abiria wote 295 waliokuwemo kwenye ndege hiyo. Mabaki ya ndege hiyo katika eneo la ajali Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur inadaiwa kuwa imedunguliwa na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba

Familia za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 wanasema simu za wapendwa wao zinapokelewa na wezi waliozichukuia kwenye eneo ilipoangakua ndege hiyo nchini Ukraine. Baadhi ya vitu vilivyosambaa baada ya ndege hiyo kudunguliwa na kuanguka Ndugu hao waliopiga simu za wapendwa wao, wameliambia gazeti moja la Uholanzi kuwa simu hizo zinapokelewa na […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Malaysian airliner downed in Ukraine war zone, 295 dead reported

BN-DS935_0717MH_G_20140717125126

Emergencies Ministry members work at the site of a Malaysia Airlines Boeing 777 plane crash in the settlement of Grabovo in the Donetsk region, July 17, 2014. REUTERS/Maxim Zmeyev

By Anton Zverev

GRABOVO Ukraine (Reuters) – A Malaysian airliner was brought down over eastern Ukraine on Thursday, killing all 295 people aboard and sharply raising stakes in a conflict between Kiev and pro-Moscow rebels in which Russia and the West back opposing sides.

Ukraine accused “terrorists” – militants...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malaysia yaomboleza abiria wa MH17

Miili ya abiria 20 walioangamia katika mkasa wa ndege ya Malaysia ya MH17 imewasili Kual Lumpur

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa

Waziri wa Ulinzi nchini Ukraine amesema kuwa mojawapo ya ndege zake za kijeshi za kubeba mizigo imedunguliwa.

 

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: KCee alipogeuka mhudumu wa ndege kwa kuvaa sare na kuhudumia abiria!

Pata picha unasafiri na ndege, na mhudumu anayekukaribisha mlangoni na kukuonesha pa kukaa ni Diamond ambaye pia baadaye anakuja kukuhudumia chakula na vinywaji wakati wa safari. Ndivyo ilivyokuwa Jumamosi ya Oct.24 pale mwimbaji wa Nigeria, Kcee alipogeuka kuwa mhudumu wa ndege kwa siku moja, ambapo alivaa sare za ‘cabin crew’ na kuhudumia abiria kwenye safari […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malaysia yaua 295 Ukraine

Ndege ya shirika la Malaysian ikiwa na abiria 295 imeanguka Mashariki mwa Ukraine ikiwa safarini kutoka Amsterdam na kuwaua wote.

 

11 years ago

CloudsFM

Waliokufa ndege ya Malaysia wafikia 295

Ndege ya Shirika la Malasyia jana ilitunguliwa mashariki mwa Ukraine na wanajeshi wanaoiunga mkono Russia na kuua watu 295 waliokuwa ndani, ofisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ukraine alisema.

Ndege hiyo ‘Malaysia Airlines’ ilikuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur na ilikuwa juu umbali wa futi 33,000 kutoka usawa wa bahari wakati ikitunguliwa.

Ikizidisha hali ya wasiwasi katika mzozo baina ya Mashariki na Magharibi ukihusisha Kiev na Moscow, ofisa huyo alilaumu “magaidi” kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani