Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini
Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona
Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Tisa wawekwa chini ya karantini kwa Ebola
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/seif-rashid-july9-2013(3)(3).jpg)
Watu tisa wamewekwa chini ya karantini kutokana na kumhudumia mtu anayedaiwa kufariki kwa ugonjwa wa Ebola katika hospitali ya wilaya ya Sengerema, Mwanza mwishoni mwa wiki.
Idadi hiyo imefikia baada ya wafanyakazi watatu wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema waliohusika kuuzika mwili wa mgonjwa huyo, Salome Richard (17), kuzuiwa kuchanganyika na wanajamii hadi vipimo halisi vitakapothibitisha ni ugonjwa gani uliomuua msichana huyo.
Salome alifariki usiku wa kumkia...
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi
Shirika la afya duniani limetahadharisha kutokea maambukizi zaidi ya Ebola licha ya juhudi za pamoja kupambana na janga hilo
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi
Huku maambukizi ya Corona yakiendelea kuongezeka Afrika, hofu ya janga hili linalokumba dunia limepelekea ubaguzi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Mashariki.
10 years ago
BBCSwahili26 May
Watu sita wawekwa karantini jela Guinea
Watu sita wamewekwa Karantini jela nchini Guinea baada ya kukutwa na mwili wa Mtu ndani ya Taxi aliyebainika kufa kwa Ebola
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Wavuvi saba Watanzania wawekwa karantini baada ya kuokolewa baharini Kenya
Wavuvi wa saba raia wa Tanzania waliookolewa baada ya boti yao kupinduka katika bahari ya hindi siku tatu zilizopita wamewekwa karantini.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Kwanini maambukizi ya corona yamepungua ghafla Afrika Kusini?
Nadharia moja ni kwamba raia wa Afrika Kusini wanakinga dhidi ya virusi hivyo.
11 years ago
Bongo522 Jul
Ripoti: Wanaume wa Afrika Kusini waongoza duniani kwa kufanya mapenzi mara chache zaidi
Imebainika kuwa wanaume wa Afrika Kusini hufanya mapenzi nusu ya wanaume wengine duniani, kwa mujibu wa survey iliyofanyika na kutangazwa Jumanne hii nchini humo. Kwa mujibu wa survey iliyofanywa na kampuni ya madawa ya Pharma Dynamics, wanaume nchini humo hufanya mapenzi kwa takriban mara 52 tu kwa mwaka. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume wengine duniani hufanya […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania