Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti: Wanaume wa Afrika Kusini waongoza duniani kwa kufanya mapenzi mara chache zaidi

Imebainika kuwa wanaume wa Afrika Kusini hufanya mapenzi nusu ya wanaume wengine duniani, kwa mujibu wa survey iliyofanyika na kutangazwa Jumanne hii nchini humo. Kwa mujibu wa survey iliyofanywa na kampuni ya madawa ya Pharma Dynamics, wanaume nchini humo hufanya mapenzi kwa takriban mara 52 tu kwa mwaka. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume wengine duniani hufanya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini

Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

WARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA

Na. Erick Mwanakulya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewataka Waratibu wote wa TARURA nchini kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika barabara na madaraja ili kubaini maeneo yanayohitaji ukarabati na kuyafanyia kazi kabla ya kuleta madhara. Mhandisi Seff ameyasema hayo, alipokutana na Waratibu wa TARURA wa Mikoa jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za TARURA Makao Makuu zilizopo Mtumba, ikiwa ni sehemu ya kikao kazi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA AFRIKA KUSINI ASHIRIKI KUFANYA USAFI MHIMBILI

 Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini

Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana waongoza mapenzi umri mdogo

IDADI kubwa ya vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza mapenzi katika umri mdogo hivyo kujiweka katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).

Hayo yamo katika mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ya VVU kwa vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.

Ofisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/Ukimwi kutoka UNESCO, Herman Mathias, akiwasilisha mada hiyo amesema...

 

10 years ago

GPL

QS MHONDA J ENTERTAINMENT YAMPELEKA MSANII CHIPUKIZI KUFANYA VIDEO AFRIKA KUSINI

Mwanamuziki Amour Genius. QS Mhonda J Entertainment imempeleka msanii wake chipukizi aitwaye AMOUR GENIUS nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao WANIMALIZA ambao amemshirikisha ‘hit maker’ wa wimbo wa MAUMIVU – KADJA NITO. Meneja wa kampuni hiyo, Fredy Felix, amethibitisha hayo ambapo alisema mashabiki wakae mkao wa kupokea video nzuri kutoka kwa AMOUR. Pia Fredy aliongeza kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia lilichangia mimba zaidi Afrika Kusini

Mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, yalichochea ongezeko la idadi ya watoto wa kiume waliozaliwa miezi tisa baada ya mashindano hayo kuanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani