Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la dunia lilichangia mimba zaidi Afrika Kusini

Mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, yalichochea ongezeko la idadi ya watoto wa kiume waliozaliwa miezi tisa baada ya mashindano hayo kuanza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ghasia zaidi kupinga kombe la dunia

Polisi nchini Brazil wamewatawanya waandamanaji mjini Brasilia wanaopinga kombe la dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia

Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia:Timu 3 za Afrika zashindwa

Timu tatu kutoka Afrika ziliambulia kichapo katika kombe la dunia la mpira wa pete

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mechi tano zitakazoamua hatma Afrika Kombe la Dunia, Brazil

MAADAMU kila kundi lina timu nne katika fainali ya Kombe la Dunia, kila moja itacheza mechi tatu kuwania tiketi mbili za kucheza hatua ya mtoano itakayokuwa na timu 16. Lakini,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini

Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela aivuta dunia kuhamia Afrika Kusini

Johannesburg. Viongozi zaidi ya sabini wakiwamo wakuu wa nchi na Serikali wanatarajiwa kushiriki hatua mbalimbali za safari ya mwisho ya Mzee Mandela aliyefariki Alhamisi ya Desemba tano usiku.

 

9 years ago

Bongo5

Davido avamiwa na kuporwa zaidi ya shilingi milioni 118 Afrika Kusini

Davido

Staa wa Nigeria Davido amekutana na janga weekend iliyopita baada ya kuvamiwa mitaa ya Sandton, jijini Johannesburg , Afrika Kusini na kuporwa $55,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 118.

Davido

Baada ya tukio hilo Davido amesimulia kilichotokea kupitia Twitter. Amesema kuwa mbali na pesa hizo pia wamechukua saa mbili aina ya Rolex. Davido na meneja wake walikutwa na janga hilo wakiwa njiani wakirejea hotelini . Hata hivyo hakuna yeyote aliyejeruhiwa.

Thank God for my life…. If not for...

 

9 years ago

Bongo5

DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini mwenye miaka 3 ashinda shindano la SA’s Got Talent 2015 (video)

dj Arch

DJ Arch Jnr ndiye DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini aliyeibuka mshindi wa shindano la South Africa’s Got Talent 2015 na kuondoka na zawadi kubwa ya R500,000 (shilingi milioni 74) baada ya kuwashinda washiriki wengine sita katika fainali iliyofanyika Jumapili ya Nov.8 jijini Johannesburg.

dj Arch

Oratilwe Hlongwane a.k.a DJ Arch Jnr mwenye umri wa miaka 3 ndiye mshindi wa kwanza mwenye umri mdogo katika historia ya mashindano hayo.

We have a winner! Congratulations DJ Arch Jnr....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani