Davido avamiwa na kuporwa zaidi ya shilingi milioni 118 Afrika Kusini
Staa wa Nigeria Davido amekutana na janga weekend iliyopita baada ya kuvamiwa mitaa ya Sandton, jijini Johannesburg , Afrika Kusini na kuporwa $55,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 118.
Baada ya tukio hilo Davido amesimulia kilichotokea kupitia Twitter. Amesema kuwa mbali na pesa hizo pia wamechukua saa mbili aina ya Rolex. Davido na meneja wake walikutwa na janga hilo wakiwa njiani wakirejea hotelini . Hata hivyo hakuna yeyote aliyejeruhiwa.
Thank God for my life…. If not for...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 May
MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE
![DSC_0025](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
![DSC_0133](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0133.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake
Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.
Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.
Mbunge...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
9 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
9 years ago
Bongo516 Oct
Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s72-c/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s1600/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Kanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule
Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu.
Na Nathaniel Limu, Singida
KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 214.1 milioni kugharamia ujenzi wa shule ya awali ya bweni.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Magreth Ndwete wakati akisoma risala fupi ya kanisa hilo kwenye hafla ya kusimikwa kwa askofu wa kwanza wa kanisa hilo John Sanongo Tesha (58), Mgeni rasmi katika hafla...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s72-c/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
Waalimu wastaafu Mkoani Rukwa wadhulumiwa zaidi ya Shilingi milioni 96 fedha za SACCOS
![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s640/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4b897023-89b8-4a47-b2be-aeb7ed77d998.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Nkasi Teachers SACCOS Gideon Ngorogoro kiasi cha Shilingi 39,756,250 kwaajili ya kuzirudisha kwa waalimu wastaafu wa chama hicho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7a4977f7-96c0-414d-a77c-6c63cf93936b.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...