Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40

Vanessa Mdee ana-make headlines hivi sasa kutokana na ushindi wake wa tuzo ya AFRIMMA 2015 ‘Best Female East Africa’, pamoja na video yake mpya ya ‘Never Ever’ ambayo ilitambulishwa rasmi wiki iliyopita exclusively na Trace Tv ya Ufaransa kabla ya kusambazwa kwenye vituo vingine vya nyumbani. Kwa mujibu wa ukurasa wa Instagram wa Clouds Fm […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tukikaza zaidi, mwaka 2016 ni wetu – Vanessa Mdee

Vanessa and Tekno

Vanessa Mdee amewataka wasanii wa Tanzania kukaza zaidi kwenye muziki wao kwani Bongo Flava ipo kwenye soko kwa sasa.

Vanessa Afrima

Akizungumza na Bongo5 jana kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Ommy Dimpoz, Vanessa alisema wasanii wakitumia utamaduni wa Tanzania wataboresha zaidi muziki wao kimataifa.

“Wapokeaji wa muziki mzuri wapo wengi sana ndani na nje ya Tanzania kwa sasa,” alisema Vee Money.

“Kwahiyo hii ni nafasi ya pekee ya sisi kuonesha uwezo wetu kwa sababu attraction ipo kwetu....

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper nao wafikisha followers milioni moja Instagram

wolvee

Vanessa Mdee na Jacqueline Wolper wana kila sababu ya kuwashukuru mashabiki wao kwa kuwawezesha kufikisha wafuasi milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.

wolvee

Hadi sasa Vanessa ana followers 1,011,699 huku Wolper akiwa na followers 1,030,784.

“Mashabiki ni mtaji, wasanii tunafanya kazi kwa ajili ya watu ndiyo maana nimefurahi kufikisha idadi hii ya mshabiki milioni moja kwenye Instagram, ni ishara nzuri kuwa kazi zangu zinakubalika,” alisema Vanessa.

vee n wolper insta

Vee Money na Jacqueline...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake

DSC_0025

Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.

DSC_0029

Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.

DSC_0133

Mbunge...

 

11 years ago

Michuzi

MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE

DSC_0025 Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa. DSC_0133 Mbunge wa jimbo la Singida Mjini,Mh. Mohammed Dewji (MO) akisalimiana na waumini wa Msikiti wa Kata ya Mtipa wakati alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa Msikiti huo, ambapo mara baada ya kuona hatua zilizofikia za ujenzi huo aliahidi kutoa Mabati 50 pamoja na mifuko 50 ya...

 

11 years ago

GPL

MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE‏

Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa. Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?

915526_1674671109457520_1194222309_n

Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.

915526_1674671109457520_1194222309_n

Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.

“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.

“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”

Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.

“It was a performance outfit and I later realised after my show how...

 

11 years ago

CloudsFM

New Video: Vanessa Mdee - Come Over

Baada ya kuisubilia kwa hamu kubwa sana video ya wimbo wa Come over toka kwa Vanessa, imeachiwa siku ya jana kupitia account ya Youtube ya Vanessa mdee chukua muda wako kuiangalia....

 

9 years ago

Bongo5

Video: Vanessa Mdee — Never Ever

Video mpya Vanessa Mdee ya wimbo wake ‘Never Ever’ iliyoongozwa na Justin Campos. Ilifanyika nchini Afrika Kusini. Wimbo umetayarishwa na Nahreel. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: VANESSA MDEE "Vee Money" - NEVER EVER (Official Video)



Published on Oct 11, 2015Tanzania's Vanessa Mdee performing her new single Never Ever!

Download 'Never Ever'
iTunes: http://smarturl.it/VanessaMdeeNE_itunes
Amazon: http://smarturl.it/VanessaMdeeNE_amazon

Follow Vanessa Mdee!
Twitter - @VanessaMdee
Instagram - @vanessamdee
Facebook - Vanessa Mdee

Digital distribution: http://www.africori.com/
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani