Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?
Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.
Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.
“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.
“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”
Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.
“It was a performance outfit and I later realised after my show how...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXWCnZwJbagtubDdkinWv3CRvDcWuiLwaWXXblHwIEyhypfSoWmUeNKs9CrU*RPc4PpdY*K9NyaCpp*uMVBaxS2p/wema.jpg?width=650)
WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE
9 years ago
Bongo520 Oct
Msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi kuwa hafanyi vizuri — Vanessa Mdee
9 years ago
Bongo516 Oct
Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40
9 years ago
Bongo519 Dec
Tukikaza zaidi, mwaka 2016 ni wetu – Vanessa Mdee
![Vanessa and Tekno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vanessa-and-Tekno-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amewataka wasanii wa Tanzania kukaza zaidi kwenye muziki wao kwani Bongo Flava ipo kwenye soko kwa sasa.
Akizungumza na Bongo5 jana kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Ommy Dimpoz, Vanessa alisema wasanii wakitumia utamaduni wa Tanzania wataboresha zaidi muziki wao kimataifa.
“Wapokeaji wa muziki mzuri wapo wengi sana ndani na nje ya Tanzania kwa sasa,” alisema Vee Money.
“Kwahiyo hii ni nafasi ya pekee ya sisi kuonesha uwezo wetu kwa sababu attraction ipo kwetu....
10 years ago
Mtanzania19 May
Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania mkutano wa uchumi
NA MWANDISHI WETU
VANESSA Mdee ni miongoni mwa wasanii tisa wa muziki kutoka nchi mbalimbali za Afrika, watakaowakilisha katika mkutano wa kiuchumi wa dunia kwa Afrika na wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika wakati watakapozindua wimbo wa ‘Strong Girl’ unaohamasisha kampeni inayojulikana kama “Poverty is Sexist”.
Licha ya wimbo huo kuja kuzinduliwa rasmi katika mkutano huo utakaofanyika nchini Afrika Kusini, kwa sasa unaendelea kuzinduliwa katika nchi mbalimbali ikiwemo Nigeria, Msumbiji...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UXQf1OuZmGw/VLk8FOEdBeI/AAAAAAAG930/3TBbqXdD0Z4/s72-c/exchanging-contracts-Swahili.jpg)
VANESSA MDEE AULA UBALOZI WA SAMSUNG TANZANIA
Akizungumza leo na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli Hayyat Regency Jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya kielektroniki ya Samsung,Mike Seo amesema kuwa, "kwa kutambua ongezeko la uhitaji wa simu za kisasa kwa soko la kati nchini Tanzania ni bora kuwasiliana na wateja wetu kupitia mtu ambaye amebeba sifa zinazoendana...
9 years ago
Bongo505 Jan
Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza amtaja msanii wa Tanzania wa kutazamwa zaidi 2016
![bbc radio 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/bbc-radio-1-300x159.png)
Mwaka unapoisha wafuatiliaji mbalimbali wa muziki huwa kwenye nafasi nzuri ya kuwafanyia tathmini wasanii kutokana na kazi walizofanya mwaka mzima, ambazo hutoa miongozo ya kutabiri nafasi ambazo wasanii hao wanaweza kuwa nazo katika mwaka unaofata.
Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza, DJ EDu ametaja orodha ya wasanii wake watano wa kuwatazama zaidi mwaka 2016, kutokana na kufanya vizuri mwaka 2015. Katika orodha hiyo amemtaja muimbaji wa Tanzania, Vanessa “Vee Money” Mdee ambaye...
9 years ago
Bongo511 Dec
Malaika amtaja mwanaume spesho kwenye maisha yake
![Malaika 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Malaika-2-300x194.jpg)
Malaika ni msichana mrembo ambayo macho ya wanaume wengi yanamtamani lakini yupo mtu mmoja muhimu zaidi aliyeushikilia moyo wake.
Mtu huyo kwa mujibu wa Malaika, ndiye anayefanya kila kitu katika muziki wake.
“Nipo na mtu, best yangu, baada ya mama na yeye pia,” Malaika alikiambia kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni.
“Ananisupport kwa kila kitu, kila kitu ambacho unakiona Malaika anakifanya na yeye pia.”
Amesema ndiye mtu anayeishi naye kwa sasa huku uhusiano wao ukiwa ni wa miaka...