Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?

915526_1674671109457520_1194222309_n

Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.

915526_1674671109457520_1194222309_n

Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.

“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.

“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”

Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.

“It was a performance outfit and I later realised after my show how...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE

Imelda Mtema BAADA ya kupita ukimya mrefu bila kuzungumzia mapenzi, mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ amemtaja mwanaume anayetarajia kumzalia mtoto kuwa ni Luis Munana, raia wa Namibia. Mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ . Wema alifunguka hayo juzikati mara baada ya mwandishi wetu kutaka kujua ana mpango gani kwenye ulimwengu wa ‘malovee’ ndipo alipomwanika Luis kuwa ndiye mwanaume...

 

9 years ago

Bongo5

Msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi kuwa hafanyi vizuri — Vanessa Mdee

Tuzo kwa msanii ni kitu muhimu sana ambacho huongeza uzito wa CV, thamani na heshima kwa msanii husika hasa kwa zile tuzo kubwa. Vanessa Mdee ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’-Afrimma, amesema anaamini msanii anapopata tuzo nyingi haimaanishi ndio anafanya vizuri sana, na msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi […]

 

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40

Vanessa Mdee ana-make headlines hivi sasa kutokana na ushindi wake wa tuzo ya AFRIMMA 2015 ‘Best Female East Africa’, pamoja na video yake mpya ya ‘Never Ever’ ambayo ilitambulishwa rasmi wiki iliyopita exclusively na Trace Tv ya Ufaransa kabla ya kusambazwa kwenye vituo vingine vya nyumbani. Kwa mujibu wa ukurasa wa Instagram wa Clouds Fm […]

 

9 years ago

Bongo5

Tukikaza zaidi, mwaka 2016 ni wetu – Vanessa Mdee

Vanessa and Tekno

Vanessa Mdee amewataka wasanii wa Tanzania kukaza zaidi kwenye muziki wao kwani Bongo Flava ipo kwenye soko kwa sasa.

Vanessa Afrima

Akizungumza na Bongo5 jana kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Ommy Dimpoz, Vanessa alisema wasanii wakitumia utamaduni wa Tanzania wataboresha zaidi muziki wao kimataifa.

“Wapokeaji wa muziki mzuri wapo wengi sana ndani na nje ya Tanzania kwa sasa,” alisema Vee Money.

“Kwahiyo hii ni nafasi ya pekee ya sisi kuonesha uwezo wetu kwa sababu attraction ipo kwetu....

 

10 years ago

Mtanzania

Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania mkutano wa uchumi

Vanessa-MdeeNA MWANDISHI WETU
VANESSA Mdee ni miongoni mwa wasanii tisa wa muziki kutoka nchi mbalimbali za Afrika, watakaowakilisha katika mkutano wa kiuchumi wa dunia kwa Afrika na wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika wakati watakapozindua wimbo wa ‘Strong Girl’ unaohamasisha kampeni inayojulikana kama “Poverty is Sexist”.
Licha ya wimbo huo kuja kuzinduliwa rasmi katika mkutano huo utakaofanyika nchini Afrika Kusini, kwa sasa unaendelea kuzinduliwa katika nchi mbalimbali ikiwemo Nigeria, Msumbiji...

 

10 years ago

Michuzi

VANESSA MDEE AULA UBALOZI WA SAMSUNG TANZANIA

Kampuni ya kielektroniki ya Samsung imemtangaza Mwanamziki ,Mtangazaji wa Televisheni na Radio Vanessa Mdee kuwa balozi wa Samsung nchini Tanzania.
 Akizungumza leo na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli Hayyat Regency Jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya kielektroniki ya Samsung,Mike Seo amesema kuwa, "kwa kutambua  ongezeko la uhitaji wa simu za kisasa kwa soko la kati nchini Tanzania ni bora kuwasiliana na wateja wetu kupitia  mtu ambaye amebeba sifa zinazoendana...

 

9 years ago

Bongo5

Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza amtaja msanii wa Tanzania wa kutazamwa zaidi 2016

bbc radio 1

Mwaka unapoisha wafuatiliaji mbalimbali wa muziki huwa kwenye nafasi nzuri ya kuwafanyia tathmini wasanii kutokana na kazi walizofanya mwaka mzima, ambazo hutoa miongozo ya kutabiri nafasi ambazo wasanii hao wanaweza kuwa nazo katika mwaka unaofata.

vee

Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza, DJ EDu ametaja orodha ya wasanii wake watano wa kuwatazama zaidi mwaka 2016, kutokana na kufanya vizuri mwaka 2015. Katika orodha hiyo amemtaja muimbaji wa Tanzania, Vanessa “Vee Money” Mdee ambaye...

 

9 years ago

Bongo5

Malaika amtaja mwanaume spesho kwenye maisha yake

Malaika 2

Malaika ni msichana mrembo ambayo macho ya wanaume wengi yanamtamani lakini yupo mtu mmoja muhimu zaidi aliyeushikilia moyo wake.

Malaika 2

Mtu huyo kwa mujibu wa Malaika, ndiye anayefanya kila kitu katika muziki wake.

“Nipo na mtu, best yangu, baada ya mama na yeye pia,” Malaika alikiambia kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni.

“Ananisupport kwa kila kitu, kila kitu ambacho unakiona Malaika anakifanya na yeye pia.”

Amesema ndiye mtu anayeishi naye kwa sasa huku uhusiano wao ukiwa ni wa miaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani