VANESSA MDEE AULA UBALOZI WA SAMSUNG TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UXQf1OuZmGw/VLk8FOEdBeI/AAAAAAAG930/3TBbqXdD0Z4/s72-c/exchanging-contracts-Swahili.jpg)
Kampuni ya kielektroniki ya Samsung imemtangaza Mwanamziki ,Mtangazaji wa Televisheni na Radio Vanessa Mdee kuwa balozi wa Samsung nchini Tanzania.
Akizungumza leo na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli Hayyat Regency Jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya kielektroniki ya Samsung,Mike Seo amesema kuwa, "kwa kutambua ongezeko la uhitaji wa simu za kisasa kwa soko la kati nchini Tanzania ni bora kuwasiliana na wateja wetu kupitia mtu ambaye amebeba sifa zinazoendana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Kampuni ya kielectroniki ya SAMSUNG yamtangaza Vanessa Mdee kama balozi wa kampuni hiyo
Kampuni ya kielektroniki ya Samsung kwa mara ya kwanza imehusisha kampuni hiyo na msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania. Leo hii, Kampuni namba moja duniani inayoongoza kwa technolojia ya hali ya juu, Samsung wanayo furaha kumtangaza balozi wao mpya mwanamziki nyota, na mtangazaji wa Televisheni na radio Vanessa Mdee.
Katika mkutano na wanahabari ulilofanyika hoteli, ya Hyatt Regency, iliyoko mjini Dar es Salaam iliohusisha kusaini kwa mkataba baina ya Vannesa Mdee na uongozi wa kampuni...
10 years ago
Mtanzania19 May
Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania mkutano wa uchumi
NA MWANDISHI WETU
VANESSA Mdee ni miongoni mwa wasanii tisa wa muziki kutoka nchi mbalimbali za Afrika, watakaowakilisha katika mkutano wa kiuchumi wa dunia kwa Afrika na wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika wakati watakapozindua wimbo wa ‘Strong Girl’ unaohamasisha kampeni inayojulikana kama “Poverty is Sexist”.
Licha ya wimbo huo kuja kuzinduliwa rasmi katika mkutano huo utakaofanyika nchini Afrika Kusini, kwa sasa unaendelea kuzinduliwa katika nchi mbalimbali ikiwemo Nigeria, Msumbiji...
9 years ago
Bongo504 Jan
Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?
![915526_1674671109457520_1194222309_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/915526_1674671109457520_1194222309_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.
Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.
“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.
“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”
Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.
“It was a performance outfit and I later realised after my show how...
10 years ago
Bongo513 Jan
Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
9 years ago
Bongo512 Oct
Video: Vanessa Mdee — Never Ever
11 years ago
CloudsFM20 Jun
New Video: Vanessa Mdee - Come Over
Baada ya kuisubilia kwa hamu kubwa sana video ya wimbo wa Come over toka kwa Vanessa, imeachiwa siku ya jana kupitia account ya Youtube ya Vanessa mdee chukua muda wako kuiangalia....
10 years ago
IPPmedia20 Oct
Firm honours Vanessa Mdee
IPPmedia
IPPmedia
Musician Vanessa Mdee got a huge boost of his career when she was named an ambassador for the city-based paints firm, Tanzania Crown last Friday. The firm's CEO Rakesh Rao said Mdee deserves the title due to her popularity and performance in the ...
11 years ago
GPL23 Jun