Malaika amtaja mwanaume spesho kwenye maisha yake
Malaika ni msichana mrembo ambayo macho ya wanaume wengi yanamtamani lakini yupo mtu mmoja muhimu zaidi aliyeushikilia moyo wake.
Mtu huyo kwa mujibu wa Malaika, ndiye anayefanya kila kitu katika muziki wake.
“Nipo na mtu, best yangu, baada ya mama na yeye pia,” Malaika alikiambia kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni.
“Ananisupport kwa kila kitu, kila kitu ambacho unakiona Malaika anakifanya na yeye pia.”
Amesema ndiye mtu anayeishi naye kwa sasa huku uhusiano wao ukiwa ni wa miaka...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXWCnZwJbagtubDdkinWv3CRvDcWuiLwaWXXblHwIEyhypfSoWmUeNKs9CrU*RPc4PpdY*K9NyaCpp*uMVBaxS2p/wema.jpg?width=650)
WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE
9 years ago
Bongo504 Jan
Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?
![915526_1674671109457520_1194222309_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/915526_1674671109457520_1194222309_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.
Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.
“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.
“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”
Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.
“It was a performance outfit and I later realised after my show how...
9 years ago
Bongo530 Sep
Nicki Minaj kutayarisha na kuonekana kwenye tamthilia ya maisha yake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s72-c/k-linn.jpg)
K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design
![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s640/k-linn.jpg)
Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.
K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama watoto wawili mapacha yamekuwa ya aina yake na anayafurahia kila sekunde.“Nimejifunza kuwa mvumilivu, nimejifunza upendo ambao sijawahi kujisikia kabla. Jinsi unavyompenda mtoto ni tofauti ambavyo unaweza kumpenda mtu yoyote yule katika maisha yako,” alisema.
Katika hatua nyingine Miss Tanzania huyo wa...
10 years ago
Bongo Movies13 May
Shilole: Huyu Ndio Mwanaume wa Maisha Yangu
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.
“Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi...
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s72-c/m1.jpg)
christian bella na bendi yake ya malaika wateka mji wa tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s1600/m1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O1dapRaOkIM/U5JwRYknVXI/AAAAAAAFoP0/fTK5Cj3mu9A/s1600/m2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rZKUavOcAus/U5JwQT2ehfI/AAAAAAAFoPg/Jebdd5ruidM/s1600/m3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mtY8E-YK8zk/U5JwSe_CXMI/AAAAAAAFoPw/1gGPsArAdH8/s1600/m4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R-m9Jsl7Tlk/U5JwTVf-UyI/AAAAAAAFoQA/k50lE56Ny4U/s1600/m5.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Feb
MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba