christian bella na bendi yake ya malaika wateka mji wa tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s72-c/m1.jpg)
Mpiga kinanda na stage manager wa Malaika Band akiwa kazini usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi mjini Tabora wakati bendi hiyo inayokuja juu kwa kasi chini ya uongozi wa mtunzi na mwimbaji mahiri na mtunzi bora wa mwaka wa Kili Music Awards Christian Bella ilipotumbuiza mamia ya wapenzi wao katika ukumbi huo mkongwe
Safu ya ushambuliaji ya Malaika band wakiwa jukwaani
Mandhari ya ukumbi
Wanenguaji wa Malaika band wakiwajibika
Kiongozi, mtunzi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Bongo508 Sep
Video: Christian Bella azungumzia siri ya kufanikiwa kama msanii wa bendi anayejitegemea
9 years ago
Bongo512 Oct
Teaser: Alikiba aonjesha collabo yake mpya na Christian Bella ‘Nagharamia’ (Audio)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiQiwIzvChtRy0RS1nfLr*AYnpixsifbxGR99mz*a3fltiTyX1eTVbINmu9*s4WdyjOQpSYLvBx6GCyWrA14nUV/2malaikaband3.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
![12301240_431794427022691_698500110_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301240_431794427022691_698500110_n-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Mwimbaji Wa Bendi Ya Malaika Band Afariki
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/09/adayaaa.jpg?resize=480%2C458)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WMlpoLmfnaY/VHtVDq00ROI/AAAAAAAAAGc/-cKLGO0Hv8E/s72-c/1.jpg)
kinana na ujumbe wake wateka mji wa mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-WMlpoLmfnaY/VHtVDq00ROI/AAAAAAAAAGc/-cKLGO0Hv8E/s1600/1.jpg)
Katika ziara hiyo Katibu mkuu huyo aliongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/92.jpg?width=650)
USIKU WA ‘AMERUDI’ WAPAGAWISHA NA MALAIKA BENDI DAR LIVE