Video: Christian Bella azungumzia siri ya kufanikiwa kama msanii wa bendi anayejitegemea
Ali Choki, Khalid Chokoraa, Super Nyemwela na wasanii wengine wa bendi wamewahi kujaribu kuimba kama solo artists lakini hawakuweza kufanikiwa lakini si kwa Christian Bella. Muimbaji huyo aliyeanza kujulikana na bendi yake ya Akudo, kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wanaopendwa zaidi nchini Tanzania. Mwaka huu, Bella amekuwa miongoni mwa wasanii waliopiga show za Kili […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL21 May
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5V71o8UxWRU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mGytmWX5VY4/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s72-c/m1.jpg)
christian bella na bendi yake ya malaika wateka mji wa tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-psPE-Rk-jUQ/U5JwQ_4XcNI/AAAAAAAFoPk/VsDXxFC5rzU/s1600/m1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O1dapRaOkIM/U5JwRYknVXI/AAAAAAAFoP0/fTK5Cj3mu9A/s1600/m2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rZKUavOcAus/U5JwQT2ehfI/AAAAAAAFoPg/Jebdd5ruidM/s1600/m3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mtY8E-YK8zk/U5JwSe_CXMI/AAAAAAAFoPw/1gGPsArAdH8/s1600/m4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R-m9Jsl7Tlk/U5JwTVf-UyI/AAAAAAAFoQA/k50lE56Ny4U/s1600/m5.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Christian Bella azungumzia bifu lake na Zebingwa
Kwa miezi kadhaa sasa kumekuwa na taarifa za uwepo wa bifu kati ya wanamuziki wawili kutoka Malaika Band, Christian Bella na Toto Zebingwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xXzXfwLzSnf5et*1bgxiZSvqPBpLUvPNG38miKxcLssqKFXUzhzeP3uAPrHr8JkfcFclLIezDPhfb-rD3I4bYm/frontWIKIENDA.jpg?width=650)
HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA
Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...
9 years ago
Bongo530 Sep
Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella
Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]
10 years ago
GPL08 Dec
NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE
BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ Desemba 6, 2014 iliutikisa Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar baada ya kuwapagawisha mashabiki kwa shoo ya nguvu iliyoambatana na utambulisho wa wimbo wa Bella uitwao 'Nani Kama Mama'.
11 years ago
Bongo505 Aug
Christian Bella asema aliutunga ‘Nani Kama Mama’ baada ya kumshuhudia mkewe akijifungua
Muimbaji na kiongozi wa Malaika Band, Christian Bella anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Nani Kama Mama’ amesema wimbo huo aliutunga baada ya kumshuhudia live mke wake akijifungua. “Mwaka 2012 nilienda Sweden kwa mke wangu ambaye alikuwa anajifungua hivyo nililazimika kuwepo ili kushuhudia mtoto wangu akizaliwa,” ameliambia gazeti la Mwanaspoti.”Nilishuhudia kila kitu na sasa nina watoto […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania