Msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi kuwa hafanyi vizuri — Vanessa Mdee
Tuzo kwa msanii ni kitu muhimu sana ambacho huongeza uzito wa CV, thamani na heshima kwa msanii husika hasa kwa zile tuzo kubwa. Vanessa Mdee ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’-Afrimma, amesema anaamini msanii anapopata tuzo nyingi haimaanishi ndio anafanya vizuri sana, na msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Jan
Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby
10 years ago
Bongo513 Oct
Vanessa Mdee: Tuzo niliyoshinda AFRIMMA ni ishara kwa wasanii wa nje kuwa waniangalie na kuniheshimu
11 years ago
Bongo524 Aug
Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke
11 years ago
Bongo504 Aug
Picha: Wajua kuwa Vanessa Mdee ana dada aliyekuwa mtangazaji maarufu wa TV na redio Kenya?
9 years ago
Bongo504 Jan
Vanessa Mdee amtaja mwanaume anayevaa vizuri zaidi Tanzania, naye ni?

Vanessa Mdee amemtaja mwanaume wa Tanzania anayemuona kuwa ndiye anayevaa vizuri zaidi kuliko wote.
Naye si mwingine zaidi ya mpenzi wake, Jux.
“Jux has effortless style,” Vanessa Mdee amuambia Diva kwenye mahojiano aliyofanya naye kwaajili ya blog yake.
“He’s got a knack for spotting out, pairing and pulling off a lot of different looks and styles.”
Kwenye mahojiano hayo pia Vanessa alieleza vazi alilowahi kuvaa na kujuta.
“It was a performance outfit and I later realised after my show how...
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Ruby: Vanessa Mdee ndiye msanii ninayemkubali
MSANII zao la Serengeti Fiesta Supa Nyota Diva 2014, Hellen George ‘Ruby’ ameonyesha tamaa ya mafanikio aliyonayo msanii mwenzake, Vanessa Mdee ‘Vee money'.
Ruby ambaye anatamba na wimbo wa ‘Nayule’ alisema, kutokana na mafanikio ya Vanessa ameamua kufuata nyayo zake ili afikie mafanikio yake. “Anajiheshimu, ana kipaji na anajua nini anafanya na kipi mashabiki wake wanataka kwa wakati huo na mimi nataka kuwa kama yeye na ninaimani nitafika alipo,” alieleza Ruby....
10 years ago
GPLVANESSA MDEE AFUNIKA TUZO KTMA
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black