Picha: Wajua kuwa Vanessa Mdee ana dada aliyekuwa mtangazaji maarufu wa TV na redio Kenya?
Wazungu wanasema it runs in the family! Wengi wanaweza wasiwe wanafahamu kuwa Vanessa Mdee ana dada yake aitwaye Nancy ‘Namtero’ Mdee aka Tero aliyekuwa mtangazaji maarufu wa kipindi cha Str8 Up cha KTN ya Kenya. Tero Hata hivyo Tero ameachana na fani hiyo baada ya kuolewa na mchungaji Hebron Kisamo wa Calvary Temple Church jijini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Aug
Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke
Jux amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Vanessa Mdee na kudai kuwa Vanessa ni mshikaji wake tu lakini amekiri kuwa muimbaji huyo wa ‘Come Over’ ana kila sifa ya kuwa mke. Jux ambaye hivi karibuni alionekana kuwa karibu na Vanessa amesema Vanessa ni mtu wake wa karibu anayefanya kazi naye. “No ni […]
9 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar
Kituo cha runinga cha Citizen cha nchini Kenya kimefanya mahojiano ya moja kwa moja na Vanessa Mdee kutoka Dar es Salaam. We’re live from Dar Es Salam! Today we’ve got the gorgeous Venessa Mdee on the show #PowerBreakfast pic.twitter.com/6O7HN9mKPn — Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) October 23, 2015 Kwenye kipindi hicho cha asubuhi cha Power Breakfast, […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u3kXusK5pDE/VV3fntDFSgI/AAAAAAAAMBc/ousGxBaJueU/s72-c/IMG-20150521-WA0124.jpg)
vanessa mdee afiwa na dada yake mkubwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-u3kXusK5pDE/VV3fntDFSgI/AAAAAAAAMBc/ousGxBaJueU/s400/IMG-20150521-WA0124.jpg)
Anna na Vanessa ni watoto wa marehemu Sammy Mdee, aliyekuwa mwandishi mkongwe aliyewahi kuongoza gazeti la Daily News, Katibu wa Mwalimu Nyerere na pia mkurugenzi wa kituo cha AICC. Mazishi ya Anna...
10 years ago
Bongo503 Dec
Vanessa Mdee ana boyfriend Mkenya? Sauti Sol wamuita shemeji!
Kwa muda mrefu Vanessa Mdee amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Jux, hali ambayo imefanya hadi sasa kutojulikana mwanaume aliye sehemu ya maisha ya hitmaker huyo wa ‘Come Over’. Hata hivyo huenda Sauti Sol wakawa wametupa hint ya nani ayeisikia sauti tamu ya Vee Money kwa ukaribu zaidi maskioni mwake. Our #WCW has […]
9 years ago
Bongo520 Oct
Msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi kuwa hafanyi vizuri — Vanessa Mdee
Tuzo kwa msanii ni kitu muhimu sana ambacho huongeza uzito wa CV, thamani na heshima kwa msanii husika hasa kwa zile tuzo kubwa. Vanessa Mdee ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’-Afrimma, amesema anaamini msanii anapopata tuzo nyingi haimaanishi ndio anafanya vizuri sana, na msanii kuwa na tuzo chache haimaanishi […]
9 years ago
Bongo507 Oct
Umeziona picha mpya za single ijayo ya Vanessa Mdee? Zinavutia
Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’ Jumatatu ijayo. Kwa Vee Money ambaye ataachia pia album yake iitwayo ‘Money Mondays’ baadaye, Jumatatu ni siku yake ya bahati. Kabla Jumatatu haijafika, muimbaji huyo mrembo anakuandaa kwa mfululizo wa picha nzuri na za kuvutia. Picha hizo zilipigwa na Osse Greca Sinare. Hizi ni picha mpya alizozitoa. […]
10 years ago
Bongo524 Feb
Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya
Msanii wa East Coast Team, King Crazy GK aka ‘Music Messayah’ ameingia ndani ya studio za Mackochalo na kuandaa wimbo mpya aliwa amemshirikisha mwadada Vanessa Mdee. AY, Vanessa, Macko pamoja na GK wakiwa studio Kazi hiyo mpya inayoandaliwa na mtayarisha jimkongwe John Maundi akishirikana Mackochali inasimamiwa na AY, huku kazi hiyo ikiwaida itatoka mapema zaidi […]
10 years ago
Bongo501 Jan
Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?
Kwa mara kibao Vanessa Mdee na Jux wamekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi licha ya kuonesha dalili nyingi ya kuwa ni item. A picture is worth a thousand words Lakini huenda mastaa hao wanataka kuufanya uhusiano wao official kwa mwaka 2015. Vee Money ametoa hint kuhusu uwezekano wa wawili hao kuwa pamoja kwenye picha aliyoweka […]
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma
Tuzo za African Muzik Magazine Awards, Afrimma zinatarajiwa kutolewa Jumamosi hii Oct. 10 jijini Dallas, Texas Marekani ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii saba. Baadhi ya wasanii wa Tanzania wanaowania tuzo hizo akiwemo Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz tayari wameondoka nchini kuelekea Marekani kuhudhuria sherehe ya utoaji wa tuzo hizo. “Asante Sana Tanzania nyie wapenzi […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania