Umeziona picha mpya za single ijayo ya Vanessa Mdee? Zinavutia
Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’ Jumatatu ijayo. Kwa Vee Money ambaye ataachia pia album yake iitwayo ‘Money Mondays’ baadaye, Jumatatu ni siku yake ya bahati. Kabla Jumatatu haijafika, muimbaji huyo mrembo anakuandaa kwa mfululizo wa picha nzuri na za kuvutia. Picha hizo zilipigwa na Osse Greca Sinare. Hizi ni picha mpya alizozitoa. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Oct
Wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutoka Jumatatu ijayo
10 years ago
Bongo524 Feb
Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya
10 years ago
Bongo501 Jan
Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?
9 years ago
Bongo523 Oct
Video: Adele aachia single mpya ‘Hello’ na tracklist ya album yake ijayo ‘25’
9 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma
9 years ago
Bongo517 Nov
Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown
![Vee na Run](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vee-na-Run-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.
Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.
Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...
11 years ago
Bongo504 Aug
Picha: Wajua kuwa Vanessa Mdee ana dada aliyekuwa mtangazaji maarufu wa TV na redio Kenya?
9 years ago
Bongo508 Oct
Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )