Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya
Msanii wa East Coast Team, King Crazy GK aka ‘Music Messayah’ ameingia ndani ya studio za Mackochalo na kuandaa wimbo mpya aliwa amemshirikisha mwadada Vanessa Mdee. AY, Vanessa, Macko pamoja na GK wakiwa studio Kazi hiyo mpya inayoandaliwa na mtayarisha jimkongwe John Maundi akishirikana Mackochali inasimamiwa na AY, huku kazi hiyo ikiwaida itatoka mapema zaidi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Sep
Stereo aingia studio na AY kuandaa kazi mpya
9 years ago
Bongo505 Oct
Wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutoka Jumatatu ijayo
9 years ago
Bongo517 Nov
Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown
![Vee na Run](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vee-na-Run-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.
Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.
Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...
9 years ago
Bongo508 Oct
Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )
10 years ago
Bongo511 Sep
Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee
9 years ago
Bongo507 Oct
Umeziona picha mpya za single ijayo ya Vanessa Mdee? Zinavutia
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kKbJrvVIRys/default.jpg)
10 years ago
Bongo502 Mar
Picha: J.Martins aingia studio kufanya collabo na Koffi Olomide
10 years ago
Bongo521 Nov
Vanessa Mdee: Wimbo wangu ujao ni wa rap