Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya

Msanii wa East Coast Team, King Crazy GK aka ‘Music Messayah’ ameingia ndani ya studio za Mackochalo na kuandaa wimbo mpya aliwa amemshirikisha mwadada Vanessa Mdee. AY, Vanessa, Macko pamoja na GK wakiwa studio Kazi hiyo mpya inayoandaliwa na mtayarisha jimkongwe John Maundi akishirikana Mackochali inasimamiwa na AY, huku kazi hiyo ikiwaida itatoka mapema zaidi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Stereo aingia studio na AY kuandaa kazi mpya

Rapper Stereo amesema ameingia studio kurekodi wimbo aliomshirikisha AY. Stereo amesema huo ndio utakuwa ujio wake mpya. “Sasa ninaweza kusema muda umefika wa kufanya kazi na Ambwene Yessayah,” amesema. “Mpaka sasa tunavyozungumza tuna bonge la beat limetengezezwa na mtu mmoja anaitwa Ringo. Hii kazi inafanyika pale kwa Marco Chali pale MJ.” “Leo nilikuwa nataka test […]

 

9 years ago

Bongo5

Wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutoka Jumatatu ijayo

Vanessa Mdee ataachia wimbo wake mpya ‘Never Ever’ Jumatatu ijayo. Kava la single mpya ya Vanessa Mdee ‘Never Ever.’ Picha ilipigwa na Osse Greca Sinare Wimbo huo umetayarishwa na prodecer wake, Nahreel wa The Industry. Wimbo uliopita, Nobody But Me aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini, K.O nao ulitayarishwa na mtayarishaji huyo ambaye pia msanii wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown

Vee na Run

Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.

Vee na Run

Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.

Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )

Wakati tunasubiri single yake mpya (audio) kuachiwa rasmi Jumatatu Ijayo, surprise nyingine kutoka kwa Vanessa Mdee ni kuwa video ya wimbo huo ‘Never Ever’ itatambulishwa exclusive na kituo cha runinga cha Ufaransa – Trace Urban kesho Oct.9. Vanessa ambaye tayari yuko Dallas, Marekani alikoenda kuhudhuria tuzo za Afrimma ameshare taarifa hiyo kupitia mitandao ya kijamii. […]

 

10 years ago

Bongo5

Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee

Mwimbaji wa R&B Jux ameendelea kukana tetesi za kuwa na uhusiano na Vanessa Mdee aka Vee money , ambao wameonekana kuwa karibu sana kwa siku za karibuni. Tetesi hizo zimepelekea watu kuhisi kuwa wimbo wake mpya ‘Sisikii’ alioutoa wiki hii amemuimbia Vanessa. Hii si mara ya kwanza kwa Jux kusemekana kutoa wimbo ambao amemwimbia msichana, […]

 

9 years ago

Bongo5

Umeziona picha mpya za single ijayo ya Vanessa Mdee? Zinavutia

Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’ Jumatatu ijayo. Kwa Vee Money ambaye ataachia pia album yake iitwayo ‘Money Mondays’ baadaye, Jumatatu ni siku yake ya bahati. Kabla Jumatatu haijafika, muimbaji huyo mrembo anakuandaa kwa mfululizo wa picha nzuri na za kuvutia. Picha hizo zilipigwa na Osse Greca Sinare. Hizi ni picha mpya alizozitoa. […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: J.Martins aingia studio kufanya collabo na Koffi Olomide

Staa wa Nigeria ambaye amewahi kufanya collabo na wasanii wa Tanzania AY na Ommy Dimpoz, J.Martins ameingia studio kufanya collabo na mkongwe kutoka D.R.C, Koffi Olomide. Martins ameshare picha Facebook akiwa na legend huyo na kuandika ujumbe kuwa anaamini muziki ni kitu kinachotuunganisha Waafrika, hivyo Kazi yake ni kutengeneza muziki ambao utawaunganisha waafrika, na kuionesha […]

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Wimbo wangu ujao ni wa rap

Vanessa Mdee amesema hachagui muziki wa kufanya na kwamba kama mambo yakienda alivyopanga, wimbo wake ujao utakuwa wa hip hop (hatuna uhakika kama alizungumza kwa utani ama ni kweli atafanya hivyo). Akiongea kwenye kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio, Jumanne hii wakati akitambulisha wimbo wake mpya ‘Siri’ alioshirikiana na Barnaba, Vanessa alidai kuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani