Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee
Mwimbaji wa R&B Jux ameendelea kukana tetesi za kuwa na uhusiano na Vanessa Mdee aka Vee money , ambao wameonekana kuwa karibu sana kwa siku za karibuni. Tetesi hizo zimepelekea watu kuhisi kuwa wimbo wake mpya ‘Sisikii’ alioutoa wiki hii amemuimbia Vanessa. Hii si mara ya kwanza kwa Jux kusemekana kutoa wimbo ambao amemwimbia msichana, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Sep
Jux ataja kiwango alichotozwa na Mabeste kumwandikia wimbo wake mpya ‘Sisikii’, ni zaidi ya 1M na ameilipa
10 years ago
GPL10 Sep
9 years ago
Bongo517 Oct
Vanessa Mdee azungumzia kufananishwa kwa video yake mpya na ile ya Ciara
9 years ago
Bongo517 Nov
Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown
![Vee na Run](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vee-na-Run-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.
Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.
Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...
9 years ago
Bongo505 Oct
Wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutoka Jumatatu ijayo
10 years ago
Bongo524 Feb
Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya
9 years ago
Bongo508 Oct
Video ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ kutambulishwa Trace Urban (Oct. 9 )
9 years ago
Bongo518 Dec
Lulu autamani uhusiano wa Vanessa Mdee na Jux
![wpid-10903372_860878923952023_314361227_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wpid-10903372_860878923952023_314361227_n-300x194.jpg)
Kwa mujibu wa Lulu, Vanessa Mdee na Jux ni couple bora zaidi – of course baada ya kwake mwenyewe isiyojulikana hadi sasa.
“You can’t stop loving short girls,” ameandika Lulu kwenye Instagram.
“Ukiona nakudanganya kamuulize anko Will Smith, 20 years kakwama kwa aunty jada. Fave couple….ikitoka yangu tu hii ndo inafata. Kuna mijitu itapanic basi, sasa unataka nikupende wewe na mtu wako wakati hamueleweki!
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...