Stereo aingia studio na AY kuandaa kazi mpya
Rapper Stereo amesema ameingia studio kurekodi wimbo aliomshirikisha AY. Stereo amesema huo ndio utakuwa ujio wake mpya. “Sasa ninaweza kusema muda umefika wa kufanya kazi na Ambwene Yessayah,” amesema. “Mpaka sasa tunavyozungumza tuna bonge la beat limetengezezwa na mtu mmoja anaitwa Ringo. Hii kazi inafanyika pale kwa Marco Chali pale MJ.” “Leo nilikuwa nataka test […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Feb
Picha: GK aingia studio na Vanessa Mdee kuandaa wimbo mpya
9 years ago
Bongo521 Dec
Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo
![Shilole na Selebobo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shilole-na-Selebobo-300x194.jpg)
Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.
Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.
“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.
Shilole amesema safari yake ya...
9 years ago
Bongo510 Oct
Damian Soul aingia studio kufanya collabo na Nameless wa Kenya
10 years ago
Bongo502 Mar
Picha: J.Martins aingia studio kufanya collabo na Koffi Olomide
9 years ago
Bongo510 Nov
Mc Galaxy wa Nigeria aingia studio kurekodi na producer Swizz Beatz (Video)
![MC-Galaxy and Swizz Beatz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/MC-Galaxy-and-Swizz-Beatz-300x194.jpg)
Siku za hivi karibuni producer maarufu wa Marekani Swizz Beatz na mkewe Alicia Keyz wamekuwa wakipost video clips kwenye mitandao ya kijamii wakifurahia nyimbo za wasanii wa Afrika zikiwemo kazi za Diamond, MC Galaxy, Wizkid na wengine.
Mc Galaxy ameingia studio jijini New York, marekani kurekodi nyimbo mpya na producer huyo wa kimataifa Swizz Beatz ikiwemo remix ya wimbo wake ‘Sekem’.
MC Galaxy alipost picha akiwa studio na Swizz kwenye akaunti yake ya Instagram.
Katika video ya Swizz...
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo508 Jul
Bila kazi ya ziada ukitegemea muziki unaweza kuumbuka town — Stereo
11 years ago
GPL19 Jul
10 years ago
Mwananchi18 Dec
RC mpya aingia kwa kishindo Morogoro