Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Damian Soul aingia studio kufanya collabo na Nameless wa Kenya

Ambwene Yessaya ‘AY’ ambaye alikuwa ‘mentor’ wa Damian Soul kwenye shindano la Maisha Superstar lililofanyika mwaka huu, aliwahi kusema kuwa wasanii wengi wakubwa wa Afrika Mashariki wamekuwa wakiomba kufanya collabo na Damian, baada ya kuona uwezo wake mkubwa aliouonesha kwenye shindano hilo. Damian Soul ambaye ameenda Kenya kufanya media tour, pia ameingia studio kurekodi collabo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: J.Martins aingia studio kufanya collabo na Koffi Olomide

Staa wa Nigeria ambaye amewahi kufanya collabo na wasanii wa Tanzania AY na Ommy Dimpoz, J.Martins ameingia studio kufanya collabo na mkongwe kutoka D.R.C, Koffi Olomide. Martins ameshare picha Facebook akiwa na legend huyo na kuandika ujumbe kuwa anaamini muziki ni kitu kinachotuunganisha Waafrika, hivyo Kazi yake ni kutengeneza muziki ambao utawaunganisha waafrika, na kuionesha […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Lady Jaydee kufanya collabo na Nameless?

1172219_160953367603974_1540394864_n

Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.

1172219_160953367603974_1540394864_n
Lady Jaydee na Seven Mosha

Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.

1170250_1014889388553205_1383993073_n
Nameless na Jaydee

Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.

917473_813546168755731_308558682_n

Jide pia ameshare picha...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo

Staa wa Nigeria, Wizkid na staa wa DRC, Fally Ipupa wamekutana Paris, Ufarasa ambako wameenda kufanya show. Wizkid na Fally hawajaiachia fursa hiyo ipite hivi hivi, wameamua kuingia studio huko Paris na kurekodi wimbo mpya wa pamoja. “Good day Paris!! Studio link up with the brother @fallyipupa01” aliandika Wizkid kwenye moja ya picha zake. Hit […]

 

10 years ago

Bongo5

Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa

Muimbaji wa muziki na kiongozi wa kundi la zamani la Fugees, Wycleif Jean ametua jijini Nairobi, Kenya kwa mradi wa Coke Studio Africa. Msanii huyo kutoka Haiti atarekodi wimbo na wasanii mbalimbali wa Afrika akiwemo Shaa kama sehemu ya kipindi hicho. Shaa ameshare picha akiwa na Wycleif na kusema ndoto yake imetimia. “Wyclef…Dreams do come […]

 

9 years ago

Bongo5

Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu

Nameless nje

Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.

Nameless nje

Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.

Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.

nameless

Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:

“The thing I love...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Bongo5

New Video: Youmg Killer ft Damian Soul — My Power

Hii hapa Video Mpya kutoka kwa rapper anaye fanya vizuri kwasasa Young Killer amemshirikisha Damian Soul ngoma inaitwa “My Power” Video imeongozwa na Jackson Joachim

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani