Damian Soul aingia studio kufanya collabo na Nameless wa Kenya
Ambwene Yessaya ‘AY’ ambaye alikuwa ‘mentor’ wa Damian Soul kwenye shindano la Maisha Superstar lililofanyika mwaka huu, aliwahi kusema kuwa wasanii wengi wakubwa wa Afrika Mashariki wamekuwa wakiomba kufanya collabo na Damian, baada ya kuona uwezo wake mkubwa aliouonesha kwenye shindano hilo. Damian Soul ambaye ameenda Kenya kufanya media tour, pia ameingia studio kurekodi collabo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Mar
Picha: J.Martins aingia studio kufanya collabo na Koffi Olomide
9 years ago
Bongo506 Jan
Picha: Lady Jaydee kufanya collabo na Nameless?
Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.
Lady Jaydee na Seven Mosha
Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.
Nameless na Jaydee
Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.
Jide pia ameshare picha...
9 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo
10 years ago
Bongo514 Sep
Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa
9 years ago
Bongo525 Nov
Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu
Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.
Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.
Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.
Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:
“The thing I love...
11 years ago
GPL13 Jul
9 years ago
Michuzi11 years ago
Bongo512 Jul
New Video: Youmg Killer ft Damian Soul — My Power