Bila kazi ya ziada ukitegemea muziki unaweza kuumbuka town — Stereo
Rapper Stereo amedai kuwa muziki wa Tanzania ni mgumu kiasi kwamba kama msanii hana shughuli zingine za kujiingizia kipato anaweza kuumbuka. Stereo ameambia Bongo5 kuwa licha ya kutangaza kujikita zaidi kwenye kufanya muziki baada ya kumaliza masomo yake, amegundua kuwa muziki hauwezi kuwa tegemeo la wasanii. “Ni kweli nimeongeza muda wangu zaidi kwenye muziki, ambao […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Sep
Stereo aingia studio na AY kuandaa kazi mpya
9 years ago
Bongo502 Nov
Muziki wa Eminem unaweza kukuongezea nguvu — Utafiti
![eminem-1-736x414](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/eminem-1-736x414-94x94.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
‘Kuna kazi ya ziada katika elimu’
MVUTANO na mijadala inayohusu ubora wa sera ya elimu na mitaala ya kufundishia imekuwepo kwa muda mrefu nchini, elimu ya sekondari imeguswa sana kutokana na umuhimu wake.
Inaaminika mwanafunzi ili awe na uelewa mzuri atakapofika chuo kikuu lazima awe na msingi zmuri wa elimu ya sekondari, hiyo ndio siri ya kutiliwa mkazo kwa ngazi hiyo ya elimu.
Hata hivyo, ufaulu ni moja ya changamoto inayoumiza vichwa vya wadau wa elimu, ndio sababu ya kuibuka mjadala wa mfumo upi utumike katika...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Magufuli afanya kazi ya ziada kuwanadi wabunge
10 years ago
Mwananchi17 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa ina kazi ya ziada Iringa Mjini, Kalenga na Isimani
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Unaweza kuigiza sokwe? Kuna kazi
10 years ago
Vijimambo15 Jul
Taarifa Potofu za Lowassa Kwenda CHADEMA: Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/lowassa2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3szu98EespO9FqPYOJBxqqjTny*USE9*3aws1Z9Q6OZeesEE*PWUbTp7hJoM1mysAqAEoN2hl3HIidEQR5RKF6Eo/Iyanya.jpg?width=650)
IYANYA ASEMA BILA MUZIKI ANGEKUWA MFANYABIASHARA
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitta azidi kuumbuka
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (BMK), Samuel Sitta, ameendelea kubanwa baada ya Jukwaa la Katiba (Jukata), kudai kura nyingine iliyopigwa kwa ajili kuhalalisha theluthi mbili Zanzibar ilichakachuliwa kutokea...