Taarifa Potofu za Lowassa Kwenda CHADEMA: Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.
Tungependa kusahihisha propaganda nyepesi zinazoendelea kuenezwa ili kuusaidia umma usiendelee kupotoshwa kwa mambo yasiyokuwa ya msingi huku kukiwa na mambo makubwa yanayohitaji 'attention' ya Watanzania kuamua mustakabali sahihi wa nchi yao kwa kuchagua MABADILIKO kupitia uchaguzi wa kihistoria hapo Oktoba 25.1. Zipo taarifa zinaendelea kuenezwa kuhusu makada wa CCM wakiongozwa na Edward Lowassa kuwa wana mpango wa kuhamia CHADEMA. Hadi sasa tunaziona habari hizo kupitia mitandaoni na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUTANO MKUU WA CHADEMA WAMPITISHA BILA KUPINGWA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Teknohama na mtiririko wa ukweli uongo duniani
10 years ago
MichuziWANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
MichuziTAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA TAARIFA ZISIZO NA UKWELI DHIDI YA WASHIRIKI WA TMT 2015
9 years ago
MichuziNEC YAWATHIBITISHA LOWASSA NA DUNI KUWA WAGOMBEA WA CHADEMA KUPITIA UKAWA
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akizungumza mara baada ya kupokea Fomu...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
PAP yadai taarifa potofu imewaathiri
10 years ago
Bongo508 Jul
Bila kazi ya ziada ukitegemea muziki unaweza kuumbuka town — Stereo
10 years ago
Habarileo27 Aug
Wizara yahofu taarifa potofu za ebola kukimbiza watalii
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetaka ufanyike utafiti wa kina ukiambatana na utoaji taarifa sahihi kuhusu ugonjwa wa ebola kuepuka kupotosha na kusababisha watalii kuhofu kuingia nchini.
9 years ago
Habarileo07 Nov
Taarifa za uongo Whatsapp zawapandisha kizimbani
WATU wanne wakiwemo ndugu watatu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa Whatsapp, kuwa nchi inaingia kwenye machafuko wakati wa uchaguzi.