Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAP yadai taarifa potofu imewaathiri

Mwenyekiti wa kampuni ya kuzalisha umeme ya Pan African Energy Tanzania Ltd, Patrick Rutabanzibwa amesema tuhuma kwamba kampuni hiyo ilifanya udanganyifu katika hesabu ziliathiri mapato yake kwa asilimia 30.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wizara yahofu taarifa potofu za ebola kukimbiza watalii

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna TarishiWIZARA ya Maliasili na Utalii imetaka ufanyike utafiti wa kina ukiambatana na utoaji taarifa sahihi kuhusu ugonjwa wa ebola kuepuka kupotosha na kusababisha watalii kuhofu kuingia nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Hivi ndivyo unavyoweza kuzuwia sambaa kwa taarifa potofu

Wataalamu wanautolea wito umma kujifunza kutoa ‘taarifa safi ’ili kusaidia kuzuwia kuenea kwa taarifa za gushi.

 

10 years ago

Vijimambo

Taarifa Potofu za Lowassa Kwenda CHADEMA: Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.

Tungependa kusahihisha propaganda nyepesi zinazoendelea kuenezwa ili kuusaidia umma usiendelee kupotoshwa kwa mambo yasiyokuwa ya msingi huku kukiwa na mambo makubwa yanayohitaji 'attention' ya Watanzania kuamua mustakabali sahihi wa nchi yao kwa kuchagua MABADILIKO kupitia uchaguzi wa kihistoria hapo Oktoba 25.1. Zipo taarifa zinaendelea kuenezwa kuhusu makada wa CCM wakiongozwa na Edward Lowassa kuwa wana mpango wa kuhamia CHADEMA. Hadi sasa tunaziona habari hizo kupitia mitandaoni na...

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.

 Katika ukurasa wa mbele na wa tano wa Gazeti la Nipashe, toleo 0578604 la tarehe 12 Septemba, 2015 kumechapishwa taarifa kwamba “Sefue; Marufuku kutumia magari ya serikali kwenye kampeni”
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”


Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yadai US inachochea mapinduzi

Serikali ya Marekani imekanusha madai ya serikali ya Kenya kuwa inafadhili makundi ya wanaharakati kuchochea mapinduzi nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

‘PAP haina uhusiano na familia ya JK’

KAMPUNI ya PanAfrica Power Resources (PAP) imekanusha umiliki wake kuwa na uhusiano na familia ya Rais Jakaya Kikwete kama ilivyovumishwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

 

10 years ago

Counsel

Kikwete family has no stake in PAP


Kikwete family has no stake in PAP - counsel
Daily News
PAN Africa Power Solutions Limited (PAP), the owner of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), has strongly refuted claims circulating in the social media that the company is linked to the family of President Jakaya Kikwete. A statement issued to the ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL/PAP yawaonya wanasiasa

KAMPUNI ya IPTL/PAP imewataka wanasiasa kutambua kwamba kampuni hiyo sio mali ya serikali, bali inazalisha na kuuza umeme. Imesema kuendelea kujadili masuala ya ndani ya uendeshaji ikiwemo namna ya kuzalisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel yadai kubaguliwa na Palestina

Israel imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na wawakiishi kutoka umoja wa ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani