Wizara yahofu taarifa potofu za ebola kukimbiza watalii
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetaka ufanyike utafiti wa kina ukiambatana na utoaji taarifa sahihi kuhusu ugonjwa wa ebola kuepuka kupotosha na kusababisha watalii kuhofu kuingia nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Dec
PAP yadai taarifa potofu imewaathiri
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Hivi ndivyo unavyoweza kuzuwia sambaa kwa taarifa potofu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGgikOPlrpA/XtKMwMDnSxI/AAAAAAABn7Y/aS4DqNjYS6ApDjBgE1sCtgQULZcgfYWBQCLcBGAsYHQ/s72-c/0c87019c487fdce140cb2280c5ea0ff4.jpg)
WIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGgikOPlrpA/XtKMwMDnSxI/AAAAAAABn7Y/aS4DqNjYS6ApDjBgE1sCtgQULZcgfYWBQCLcBGAsYHQ/s400/0c87019c487fdce140cb2280c5ea0ff4.jpg)
Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...
10 years ago
Vijimambo15 Jul
Taarifa Potofu za Lowassa Kwenda CHADEMA: Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/lowassa2.jpg)
9 years ago
Michuzi14 Sep
Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”
Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...
10 years ago
Uhuru NewspaperCCM yahofu uchaguzi mkuu 2015 kuvurugika
Kimesema mfumo huo utaigharimu serikali mabilioni ya shilingi na kwamba, unaweza usitoe mafanikio yenye tija kama inavyotarajiwa kwa kuwa tayari umetoa matokeo mabaya kwenye baadhi ya nchi zilizoanza kuutumia.
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi,...
11 years ago
CloudsFM03 Jun
DIAMOND ANAENDELEA KUKIMBIZA KWENYE KURA ZA MAONI BET
Kwenye mchakato wa kuelekea kwenye tuzo za BET, msanii pekee anayeiwakilisha Afrika Mashariki kwenye tuzo hizo kipengele cha Best International Act Diamond Platnumz anaendelea kumwacha mbali msanii ambaye anaonekana kuwa tishio kidogo kwake Davido kutoka nchini Nigeria, hiyo ni kwa nguvu za Watanzania, Wakenya,Waganda,Rwanda na Burundi,ili kumwezesha Diamond Platnumz kuchukua tuzo hiyo inatakiwa kucoment kwenye mitandao ya kijamii inayoendeshwa na BET Facebook,Twitter na Instagram.
Mpaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JvBzj3qa9Ac/Vcfit0ZQ3AI/AAAAAAAAJKs/axBoICe_LlA/s72-c/Mubelwa%2BBandio.jpg)
MAISHA ya sasa. Ni kukimbiza DEATHDAY kuliko kuikimbia BIRTHDAY
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvBzj3qa9Ac/Vcfit0ZQ3AI/AAAAAAAAJKs/axBoICe_LlA/s640/Mubelwa%2BBandio.jpg)
MAISHA. Nimejifunza kuwa hayako sawa. Na naamini huo ndio usawa wake, kwani humu tuishimo hakuko sawa.
Hivyo, haitakuwa sawa kwa maisha kuwa sawa katika "uwanja" usio sawa kwa waishimo.
Na...
Najua nililoanza nalo na nitakaloendeleza halitaeleweka sawa, na huo ni udhihirisho wa usawa wetu, ambao nao hauko sawa.
Leo, Agosti 10, ninapoadhimisha mwaka mwingine katika maisha yangu, naitumia siku hii KUAKISI maisha yangu kuliko kusherehekea.
UKWELI ni huu...
Unasoma hapa kwa kuwa...
10 years ago
Michuzi31 Dec
TAARIFA YA UFAFANUZI WIZARA YA NISHATI NA MADINI