Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yadai US inachochea mapinduzi

Serikali ya Marekani imekanusha madai ya serikali ya Kenya kuwa inafadhili makundi ya wanaharakati kuchochea mapinduzi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

China:Marekani inachochea mataifa ya Asia

Uchina imeishutumu Marekani kuwa inafanya uchochezi wa kisiasa, kwa kupiga doria katika eneo linalozozaniwa la bahari ya kusini ya Uchina

 

11 years ago

Mwananchi

UTAFITI: ‘Sheria ya elimu inachochea ndoa za utotoni’

>Ofisa Elimu na Michezo Wilaya ya Kusini Unguja, Nassor Simba Hassan amesema sheria ya elimu inachangia wazee kuwaozesha vijana wao walio chini ya miaka 18.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

10 years ago

Mtanzania

TUCTA yadai nyongeza ya mishahara

nmgayaNa John Maduhu, Mwanza

SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mgaya alisema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel yadai kubaguliwa na Palestina

Israel imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na wawakiishi kutoka umoja wa ulaya

 

10 years ago

Habarileo

Dawasco yadai wateja bil. 40/-

 MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imesema inadai zaidi ya Sh bilioni 40 kutoka kwa wateja sugu, waliolimbikiza madeni yao ya maji ya kila mwezi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani