Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unaweza kuigiza sokwe? Kuna kazi

Je, ungependa kujiunga na mwigizaji mashuhuri Andy Serkis katika kuigiza filamu mpya ya msururu wa filamu za Planet of the Apes?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Bila kazi ya ziada ukitegemea muziki unaweza kuumbuka town — Stereo

Rapper Stereo amedai kuwa muziki wa Tanzania ni mgumu kiasi kwamba kama msanii hana shughuli zingine za kujiingizia kipato anaweza kuumbuka. Stereo ameambia Bongo5 kuwa licha ya kutangaza kujikita zaidi kwenye kufanya muziki baada ya kumaliza masomo yake, amegundua kuwa muziki hauwezi kuwa tegemeo la wasanii. “Ni kweli nimeongeza muda wangu zaidi kwenye muziki, ambao […]

 

10 years ago

CloudsFM

SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.

Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.

 

10 years ago

Raia Tanzania

‘Kuna kazi ya ziada katika elimu’

MVUTANO  na mijadala inayohusu ubora wa sera ya elimu na mitaala ya kufundishia imekuwepo kwa muda mrefu nchini, elimu ya sekondari imeguswa sana kutokana na umuhimu wake.

Inaaminika mwanafunzi ili awe na uelewa mzuri atakapofika chuo kikuu lazima awe na msingi zmuri wa elimu ya sekondari, hiyo ndio siri ya kutiliwa mkazo kwa ngazi hiyo ya elimu.

Hata hivyo, ufaulu ni moja ya changamoto inayoumiza vichwa vya wadau wa elimu, ndio sababu ya kuibuka mjadala wa mfumo upi utumike katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongereni Azam FC, lakini mbele kuna kazi

Naingia tena kwenye ulingo huu wa hoja kuzungumzia mambo yetu yanayotuhusu ya michezo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii mnajua kuna tatizo la ajira, mnaheshimu kazi zenu?

Asilimia 60 ya vijana wa nchi za Kiafrika hawana ajira. Ripoti mbalimbali zinaonyesha zaidi ya nusu ya vijana walio na umri chini ya miaka 25 katika nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara hawana kazi za kuajiriwa, wengi wao ni wabangaizaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe wabunifu wa Uganda

Sokwe wamanaswa kwa video wakitengeza kifaa cha kunywa maji kwa kutumia majani

 

11 years ago

BBCSwahili

Sokwe wanaotunzwa kifalme Kenya

Je Umewahi kupata au kusikia Sokwe mtu wanaotunzwa kifalme?

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti

Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani