Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke

Jux amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Vanessa Mdee na kudai kuwa Vanessa ni mshikaji wake tu lakini amekiri kuwa muimbaji huyo wa ‘Come Over’ ana kila sifa ya kuwa mke. Jux ambaye hivi karibuni alionekana kuwa karibu na Vanessa amesema Vanessa ni mtu wake wa karibu anayefanya kazi naye. “No ni […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Picha: Wajua kuwa Vanessa Mdee ana dada aliyekuwa mtangazaji maarufu wa TV na redio Kenya?

Wazungu wanasema it runs in the family! Wengi wanaweza wasiwe wanafahamu kuwa Vanessa Mdee ana dada yake aitwaye Nancy ‘Namtero’ Mdee aka Tero aliyekuwa mtangazaji maarufu wa kipindi cha Str8 Up cha KTN ya Kenya. Tero Hata hivyo Tero ameachana na fani hiyo baada ya kuolewa na mchungaji Hebron Kisamo wa Calvary Temple Church jijini […]

 

9 years ago

Bongo5

Lulu autamani uhusiano wa Vanessa Mdee na Jux

wpid-10903372_860878923952023_314361227_n

Kwa mujibu wa Lulu, Vanessa Mdee na Jux ni couple bora zaidi – of course baada ya kwake mwenyewe isiyojulikana hadi sasa.

wpid-10903372_860878923952023_314361227_n

“You can’t stop loving short girls,” ameandika Lulu kwenye Instagram.

“Ukiona nakudanganya kamuulize anko Will Smith, 20 years kakwama kwa aunty jada. Fave couple….ikitoka yangu tu hii ndo inafata. Kuna mijitu itapanic basi, sasa unataka nikupende wewe na mtu wako wakati hamueleweki!

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee

lulu2342

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.

Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi

Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi

“You can’t Stop Loving Short Girls 😛😛😛Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith😁20 years kakwama Kwa Aunty Jada🙈
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata 😁
Kuna mijitu itapanic basi😂😂😂Sasa...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?

Kwa mara kibao Vanessa Mdee na Jux wamekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi licha ya kuonesha dalili nyingi ya kuwa ni item. A picture is worth a thousand words Lakini huenda mastaa hao wanataka kuufanya uhusiano wao official kwa mwaka 2015. Vee Money ametoa hint kuhusu uwezekano wa wawili hao kuwa pamoja kwenye picha aliyoweka […]

 

9 years ago

Bongo5

Jux na Vanessa Mdee wana ngoma nne walizorekodi pamoja

Jux n vee-1

Jux na Vanessa Mdee wamesharekodi nyimbo nne pamoja.

Jux n vee-1

Jux ambaye wiki hii ameachia video ya wimbo wake ‘One More Night’ amesema nyimbo hizo zitaanza kutoka mwakani.

“Tumerekodi nyimbo kama nne zipo studio. Muda ukifika hata mwakani zitatoka. Management ya Vanessa ikiwa tayari kutoa na management yangu ikisema tayari tutoe tutashoot video na baadaye utatoka,” Jux amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

CloudsFM

VANESSA MDEE AMMWAGIA SIFA MADAM RITA

\Msanii wa bongo fleva, Vanessa Mdee, amempa sifa mkurugenzi wa Bench Mark Production, Rita Poulsen ‘Madam Rita’, kuwa ni mwanamke anayestahili kuigwa na wanawake wengi nchini.Akizungumza na mtanzania jana, Vanessa alisema sifa hizo amezitoa ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa rita, ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuibua vipaji vingi vya wasanii wachanga.

Vanessa alisema Rita ni mwanamke aliyeweza kubadilisha maisha ya vijana wengi ambao wamekuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
“mara nyingi...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee: Watanzania mkituunga mkono tutawaletea sifa

Vanessa Mdee ambaye yeye pamoja na Diamond Platnumz na Peter Msechu wamechaguliwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards, AFRIMA 2O14, amesema kama Watanzania watawaunga mkono wana nafasi ya kuiletea nchi sifa kubwa. Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa muziki wake unaonesha mwanzo mzuri wa kuanza kutambulika zaidi kimataifa. “Inaonyesha ile kazi tunayofanya kila siku tunavyoamka tunaenda […]

 

10 years ago

Bongo5

Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee

Mwimbaji wa R&B Jux ameendelea kukana tetesi za kuwa na uhusiano na Vanessa Mdee aka Vee money , ambao wameonekana kuwa karibu sana kwa siku za karibuni. Tetesi hizo zimepelekea watu kuhisi kuwa wimbo wake mpya ‘Sisikii’ alioutoa wiki hii amemuimbia Vanessa. Hii si mara ya kwanza kwa Jux kusemekana kutoa wimbo ambao amemwimbia msichana, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani