Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi

Shirika la afya duniani limetahadharisha kutokea maambukizi zaidi ya Ebola licha ya juhudi za pamoja kupambana na janga hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini

Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona

Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.

 

9 years ago

StarTV

Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.

Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa   baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.

Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya ebola

Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na kirusi kiitwacho ebola. Kirusi hicho ni moja kati ya familia ya virusi watatu toka katika familia ya filoviridiae.

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO: uvumi wa maambukizi ya Ebola ukome

Shirika la Afya Duniani, WHO, limesema kukabiliana na Homa ya Ebola Magharibi mwa Afrika ni changamoto kubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maambukizi mapya ya Ebola Nigeria

Waziri wa afya nchini Nigeria amethibitisha visa kumi vya ugonjwa wa Ebola katika mji mkuu Lagos.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Maambukizi yaongezeka S Leone

Shirika moja la hisani limeonya kuwa kuna kiwango cha visa vitano vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola kila saa nchini Sierra Leone

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola DRC

Watu wanne wamefariki dunia wakiwa na dalili za ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola

Shirika la WHO limeonya kuwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi huenda ukawaambukiza zaidi ya watu 20,000 kabla haujadhibitiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani