Maambukizi mapya ya Ebola Nigeria
Waziri wa afya nchini Nigeria amethibitisha visa kumi vya ugonjwa wa Ebola katika mji mkuu Lagos.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KUPINGA UNYANYAPAA CHACHU YA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI MAPYA

Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai akifungua Kongamano la siku mbili la viongozi wa dini watu wanaoishi na maambukizi lililoandaliwa na Bunge na Baraza la watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi Nacopha iliofanyika jijini Arusha leo
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Taarifa sahihi za unyanyapaa zikifanyiwa kazi itasaidia kuwafichua watu wenye maambuzi mapya na kuendeleza vita ya kupigana na Ugonjwa wa ukimwi nchini.
Pia Baraza la watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Nacopha kupitia mradi wa hebu...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Elimu duni ya kondomu yachagiza maambukizi mapya ya VVU
TAFITI zimebaini kwamba vijana hawatumii kondomu kwa madai ya kutopata ladha wakati wa kufanya mapenzi.
11 years ago
Mwananchi02 Sep
Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virus vya corona: Trump asema 'wamefikia kilele cha maambukizi’ mapya Marekani
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana
Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Na Nathaniel Limu.
Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...
11 years ago
GPL
ELIMU DUNI NA ISIYO SAHIHI YA MATUMIZI YA KONDOMU INACHANGIA MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KWA VIJANA
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).
Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia
Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...