KUPINGA UNYANYAPAA CHACHU YA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI MAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k4KPO0vQ3lk/Xk5v0pPANBI/AAAAAAAAIIg/wrlE_-40_QQderdm0Y6WE1l-rjt8ofSUwCEwYBhgL/s72-c/1582196922747_1582196921138_J.jpg)
Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai akifungua Kongamano la siku mbili la viongozi wa dini watu wanaoishi na maambukizi lililoandaliwa na Bunge na Baraza la watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi Nacopha iliofanyika jijini Arusha leo
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Taarifa sahihi za unyanyapaa zikifanyiwa kazi itasaidia kuwafichua watu wenye maambuzi mapya na kuendeleza vita ya kupigana na Ugonjwa wa ukimwi nchini.
Pia Baraza la watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Nacopha kupitia mradi wa hebu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jan
KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU.
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Maambukizi mapya ya Ebola Nigeria
11 years ago
Habarileo26 Jul
Elimu duni ya kondomu yachagiza maambukizi mapya ya VVU
TAFITI zimebaini kwamba vijana hawatumii kondomu kwa madai ya kutopata ladha wakati wa kufanya mapenzi.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jvO4TKs6r2o/XsUOVBu0GMI/AAAAAAALq7Q/nzpQYHcIumA8qQEJqwdW4qzK4_T0X9gnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B12.17.41%2BPM.jpeg)
Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-jvO4TKs6r2o/XsUOVBu0GMI/AAAAAAALq7Q/nzpQYHcIumA8qQEJqwdW4qzK4_T0X9gnACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B12.17.41%2BPM.jpeg)
Nchini Tanzania, Mamlaka ya Usafiri wa Anga mwanzoni ilichukua hatua ya kuzuia ndege zote za Kimataifa huku uamuzi pia ukifanyika kufunga shule kwa muda, kusitisha shughuli za kimichezo na mikusanyiko mikubwa ya umma mpaka pale hali itakapoonekana walau...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Na Nathaniel Limu.
Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virus vya corona: Trump asema 'wamefikia kilele cha maambukizi’ mapya Marekani