Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-jvO4TKs6r2o/XsUOVBu0GMI/AAAAAAALq7Q/nzpQYHcIumA8qQEJqwdW4qzK4_T0X9gnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B12.17.41%2BPM.jpeg)
MLIPUKO wa homa ya kirusi cha corona umelazimisha sekta nyingi kutazama upya namna zinavyoendesha kazi zake. Katika juhudi za kupunguza maambukizi na kulinda wafanyakazi sekta nyingi zimejaribu kutengeneza sera mpya kiutendaji.
Nchini Tanzania, Mamlaka ya Usafiri wa Anga mwanzoni ilichukua hatua ya kuzuia ndege zote za Kimataifa huku uamuzi pia ukifanyika kufunga shule kwa muda, kusitisha shughuli za kimichezo na mikusanyiko mikubwa ya umma mpaka pale hali itakapoonekana walau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jan
KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k4KPO0vQ3lk/Xk5v0pPANBI/AAAAAAAAIIg/wrlE_-40_QQderdm0Y6WE1l-rjt8ofSUwCEwYBhgL/s72-c/1582196922747_1582196921138_J.jpg)
KUPINGA UNYANYAPAA CHACHU YA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI MAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k4KPO0vQ3lk/Xk5v0pPANBI/AAAAAAAAIIg/wrlE_-40_QQderdm0Y6WE1l-rjt8ofSUwCEwYBhgL/s640/1582196922747_1582196921138_J.jpg)
Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai akifungua Kongamano la siku mbili la viongozi wa dini watu wanaoishi na maambukizi lililoandaliwa na Bunge na Baraza la watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi Nacopha iliofanyika jijini Arusha leo
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Taarifa sahihi za unyanyapaa zikifanyiwa kazi itasaidia kuwafichua watu wenye maambuzi mapya na kuendeleza vita ya kupigana na Ugonjwa wa ukimwi nchini.
Pia Baraza la watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Nacopha kupitia mradi wa hebu...
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Coronavirus: Uganda yazindua sera mpya ya usafiri kudhibiti maambukizi
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Kinana: Tutazidi kulinda maslahi ya wafanyakazi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
KATIBU Mkuu wa CCM, Abrahaman Kinana, amesema Chama kitaendelea kuwa karibu na wafanyakazi katika kuhakikisha maslahi yao yanapatikana. .
Kinana alisema hayo jana alipokuwa akipokea kadi ya uanachama kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Hotelini, Nyumbani, Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU) katika ukumbi wa CCM Makao Makuu, mjini hapa.
Alisema mara nyingi wafanyakazi wamekuwa wakijitetea wenyewe lakini kwa sasa kutokana na kupokea kadi hiyo kunakifanya chama kuwa...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya
11 years ago
BBCSwahili08 May
Barclays kupunguza wafanyakazi elfu 19
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Vinu vya mafuta kupunguza wafanyakazi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6ATbl8yJSuw/U8UAApObM7I/AAAAAAAF2TA/fS-1KQFAXjc/s72-c/unnamed..jpg)
Vodacom yazidi kujikita kulinda Usalama wa wafanyakazi wake
Vodacom ambao ni washindi wa tuzo ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi inayotambuliwa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) imezindua kampeni hiyo ikiwa ni mwendelezo wa jitihada mbalimbali inazozichukua katika kuhakikisha usalama wa wafanyakazi wake...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Muhongo ataka sera ya afya kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewaagiza makamishna na wakurugenzi wa sekta ya afya kuweka sera ya wafanyakazi kupima afya mara kwa mara. Alitoa agizo hilo mjini hapa...