Muhongo ataka sera ya afya kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewaagiza makamishna na wakurugenzi wa sekta ya afya kuweka sera ya wafanyakazi kupima afya mara kwa mara. Alitoa agizo hilo mjini hapa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s72-c/15.jpg)
NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOgIB_EBpPc/Vm6SBq9h9AI/AAAAAAAAsN4/YPAlbZsufB4/s640/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ICZgnMY385w/Vm6SBl7X9aI/AAAAAAAAsOA/aA9I7HuHJA4/s640/19.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xFW9_9n0sg/Vm6SCmRuSuI/AAAAAAAAsOM/0bBkgGe0_6I/s640/23.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s72-c/photo1.jpg)
WAFANYAKAZI WA NBC WAPIMA AFYA ZAO KUADHIMISHA WIKI YA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0GIhTKqvQw/U130_OAgdRI/AAAAAAAFdlw/u5dly99CgZQ/s1600/photo2.jpg)
11 years ago
MichuziAirtel yawezesha mafunzo kwa wafanyakazi wa Afya kijiji cha Mbola Tabora
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
11 years ago
GPLAIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Etihad yafungua Kituo cha Afya Hadhi ya Kimataifa kwa Wafanyakazi Wake Abu Dhabi
Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.
Shirika la ndege la...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Muhongo ataka wawekezaji kuepuka mikataba ya rushwa
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameyataka mashirika yanayotaka kuwekezaji kwenye Sekta ya Gesi na Mafuta nchini, yajiepushe kusaini mikataba ya rushwa ili kuepuka migogoro ya kimaslahi. Muhongo...