NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s72-c/15.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake .
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Annastazia Wambura akiwasalimu Viongozi, Wakuu wa Idara kwenye kikao cha kwanza ambapo aliwataka kuzingatia kazi na kuzifanya kwa ufanisi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na Wakurugenzi na Viongozi wa Idara mbali mbali walio chini ya Wizara yake .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe....
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mengi ataka wanawake kujiamini
MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
DC PAUL MAKONDA: Afanya ziara ya kushitukiza Kinondoni ataka wafanyakazi wapatiwe mikataba stahiki sehemu za kazi!
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Muhongo ataka sera ya afya kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amewaagiza makamishna na wakurugenzi wa sekta ya afya kuweka sera ya wafanyakazi kupima afya mara kwa mara. Alitoa agizo hilo mjini hapa...
9 years ago
StarTV19 Dec
Wafanyakazi 10 wa TANESCO wasimamishwa kazi kwa Madai Ya Upotevu Wa Fedha
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limewasimaisha kazi wafanyakazi wake 10 baada ya kubainika kuhusika na wizi wa umeme kwenye mfumo wa mita kwenye minara ya simu uliosababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shingili Milioni 100.
Miongoni mwa wafanyakazi hao ni pamoja na mafundi, wahasibu na wahandisi umeme ambao wanadaiwa kushirikiana na wateja kuhujumu shirika hilo kwa kupokea rushwa na kisha kusambaza umeme unaotumika bila kulipwa.
Desemba 14, mwaka huu Shirika hili lilitangaza kupata...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Mama Salma ataka Lindi wafanye kazi kwa bidii
WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
9 years ago
StarTV02 Dec
Wafanyakazi 635 Tanzanite One kupunguzwa kazi kutokana na kupungua kwa uzalishaji
Wafanyakazi mia sita thelathini na tano wa Mgodi wa Tanzanite One wanaofanya kazi katika machimbo ya Tanzanite Mirerani Simanjiro wanatarajiwa kupunguzwa kazini kutokana na hali ya uzalishaji ya kampuni hiyo kutoridhisha.
Uamuzi wa kupunguza wafanyakazi hao umefikiwa na uongozi wa mgodi huo kwa madai kwamba ni kudorora kwa hali ya kifedha kwa kampuni hiyo kunakosababishwa na hali ya uzalishaji wa madini.
Akitolea ufafanuzi mchakato wa zoezi hilo katika eneo la mgodi huo wa Tanzanite...
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QuPZnk4ZjOU/VREO0h5eLVI/AAAAAAAHMuY/gYSn4zd73io/s72-c/Chapman.jpg)
WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-QuPZnk4ZjOU/VREO0h5eLVI/AAAAAAAHMuY/gYSn4zd73io/s1600/Chapman.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSvht5FNrQs/VREO0qHt9UI/AAAAAAAHMuc/94IhGIHcSv0/s1600/Chapman_Albert_Le%2Bpoer%2Btrench.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s72-c/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
MABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s1600/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0m_jKkKdFU/VTD5QoqOyzI/AAAAAAAHRpo/Gy64p3dF454/s1600/TIA%2B-2.jpg)