Vinu vya mafuta kupunguza wafanyakazi
kampuni ya mafuta Talisman Sinopec imetangaza kupunguza wafanyakazi wake wapatao mia tatu kutoka katika uzalishaji .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya corona: Makubaliano ya kupunguza uzalishaji mafuta yafikiwa: Je hili litamaliza mvutano wa bei?
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mahakama yazima vinu vya nyuklia Japan
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
EWURA yaagizwa kupunguza zaidi bei ya mafuta
NA WAANDISHI WETU
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetakiwa kuhakikisha inaendelea kupunguza bei ya mafuta kulingana na mabadiliko katika soko la dunia. Agizo hilo limetolewa jana na Kamati ya PAC wakati ilipokutana na watendaji na maofisa wa EWURA, ambapo imesema ni lazima bei ya mafuta nchini ibadilike kulingana na bei ya soko duniani. Makamu Mwenyekiti wa PAC, Ismail Aden Rage, alisema bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepungua kwa asilimia 25, hivyo mamlaka...
11 years ago
BBCSwahili08 May
Barclays kupunguza wafanyakazi elfu 19
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jvO4TKs6r2o/XsUOVBu0GMI/AAAAAAALq7Q/nzpQYHcIumA8qQEJqwdW4qzK4_T0X9gnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B12.17.41%2BPM.jpeg)
Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-jvO4TKs6r2o/XsUOVBu0GMI/AAAAAAALq7Q/nzpQYHcIumA8qQEJqwdW4qzK4_T0X9gnACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B12.17.41%2BPM.jpeg)
Nchini Tanzania, Mamlaka ya Usafiri wa Anga mwanzoni ilichukua hatua ya kuzuia ndege zote za Kimataifa huku uamuzi pia ukifanyika kufunga shule kwa muda, kusitisha shughuli za kimichezo na mikusanyiko mikubwa ya umma mpaka pale hali itakapoonekana walau...
11 years ago
Mwananchi01 May
Vyama vya wafanyakazi visaidie wafanyakazi
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
10 years ago
Habarileo14 Feb
Zanzibar kupunguza vifo vya wajawazito
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema suala la kuimarisha maisha ya jamii na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga ni miongoni mwa masuala muhimu.