Coronavirus: Uganda yazindua sera mpya ya usafiri kudhibiti maambukizi
Serikali ya Uganda imezindua sera karantini kwa wasafiri wanaowasili nchini humo kutoka mataifa 16 yaliyo kwenye 'hatari zaidi' ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Visa vya maambukizi ya Coronavirus vyaongezeka Kenya na Uganda
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mikakati mitano ambayo imethihirisha kudhibiti maambukizi ya Covid-19
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bShOdSmtZqc/VTOccJhNNiI/AAAAAAAHR-k/z_BEqYLxg1o/s1600/Picture%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Serikali yashauriwa kutunga sera ya kudhibiti pombe
Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa hiyo kwenye soko.
Akizungumza na Moblog Tanzania jijini Dar es Salaam katika viwanja vya...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Taasisi za usafiri zatakiwa kuweka viwango kudhibiti ajali
MAMLAKA zinazosimamia usafiri wa majini na nchi kavu nchini zimetakiwa kudhibiti vyombo vya majini na kuweka viwango kwa ajili ya kupunguza ajali za baharini.
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa siku tatu kuanzia leo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0279.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUTUNGA SERA YA KUDHIBITI POMBE
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona