Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YASHAURIWA KUTUNGA SERA YA KUDHIBITI POMBE‏

Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani Mkurugenzi Mtendaji wa Makangarale Youth Theatre, ambao ni taasisi chini ya Tanzania Network Against Alcohol Abuse (TAAnet), Bw. Ismael Mnikite akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi kutoka… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yashauriwa kutunga sera ya kudhibiti pombe

DSC_0279

Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi Wetu

SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa hiyo kwenye soko.

Akizungumza na Moblog Tanzania jijini Dar es Salaam katika viwanja vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe

Ni kawaida kushuhudia watu wengi, hasa nyakati za jioni, wakijiburudisha kwa kunywa pombe maeneo mbalimbali. Kuwapo kwa baa katika maeneo mengi nchini ni uthibitisho kuwa ni biashara yenye wateja wengi. Pombe zipo za aina nyingi kuanzia vinywaji vikali, yaani vyenye kiwango kikubwa cha kilevi pamoja na vile vya wastani.

 

10 years ago

Habarileo

Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu

MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yashauriwa kuboresha sera za sayansi

Tanzania imeshauriwa kuzifanyia marekebisho sera za sayansi na teknolojia pamoja na ile ya viwanda na biashara, ili kuhimiza ubunifu utakaochangia kuimarika kwa uzalishaji viwandani.

 

11 years ago

Habarileo

Jamii yashauriwa kuacha pombe

JAMII imetakiwa kupunguza matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku, ikiwemo uvutaji wa sigara na kunywa pombe ili kujiepusha na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yazindua sera mpya ya usafiri kudhibiti maambukizi

Serikali ya Uganda imezindua sera karantini kwa wasafiri wanaowasili nchini humo kutoka mataifa 16 yaliyo kwenye 'hatari zaidi' ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona.

 

10 years ago

GPL

JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI‏

Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Lindi, Allen Nyumbo(watatu toka kushoto) akimkabidhi Mzee Selemani Musa Mkazi wa Lindi kapu lenye vyakula mbalimbali kama msaada kwa ajili ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani  msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake  Pamoja na Vodacom.   Mkazi wa Lindi Mkoa wa Pwani Aisha Saleh(wane toka kushoto)akipokea kapu lenye… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kupunguza kodi

SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kuboresha hospitali

SERIKALI imeshauriwa kuboresha huduma za hospitali nchini ili kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano vinavyotokana na ukosefu wa vifaatiba. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani