Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu
MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Serikali yashauriwa kutunga sera ya kudhibiti pombe
Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa hiyo kwenye soko.
Akizungumza na Moblog Tanzania jijini Dar es Salaam katika viwanja vya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0279.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUTUNGA SERA YA KUDHIBITI POMBE
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Rujewa watakiwa kutunga sheria ya uchafuzi wa maji
BARAZA la Mamlaka ya mji mdogo wa Rujewa, jijini Mbeya limetakiwa kutunga sheria ndogo za kuwadhibiti wakazi wa eneo hilo wanaofanya uchafuzi katika mito na mifereji ya maji iliyopo katika...
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Jun
Wabunge washauriwa kubadili sheria ya ajira
WABUNGE wameshauriwa kubadilisha sheria kuhakikisha watendaji wa kata wanaajiriwa kwenye wilaya zao badala ya Tume ya Ajira.
10 years ago
Habarileo13 Jan
Watumishi washauriwa kusoma sheria za kazi
WATUMISHI wa idara, taasisi, mashirika mbalimbali ya serikali na binafsi wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupenda kusoma na kupitia sheria na kanuni za kazi kabla ya kudai haki zao.
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge
Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .
Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.
Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Uingereza yaandaa sheria kudhibiti IS