Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu

MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rujewa watakiwa kutunga sheria ya uchafuzi wa maji

BARAZA la Mamlaka ya mji mdogo wa Rujewa, jijini Mbeya limetakiwa kutunga sheria ndogo za kuwadhibiti wakazi wa eneo hilo wanaofanya uchafuzi katika mito na mifereji ya maji  iliyopo katika...

 

10 years ago

Mwananchi

JUKWAA LA SHERIA : Madhara ya kutojua sheria

Kuna msemo wa kilatini unaosema “Ignoracia juris, non excusat” wenye maana kwa Kiingereza; “ignorance of law is not an excuse” na tafsiri ya Kiswahili, twaweza kusema: “Kutojua sheria siyo utetezi au kutojua sheria haiwezi kuwa kinga ya kukufanya usichukuliwe hatua za kisheria kama umetenda kosa”

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO YAPINGWA MAHAKAMANI

Mkurugenzi wa THRDC, Onesmo Olengurumwa. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na mashirika mengine ya kutetea haki za binadamu leo wamefungua kesi ya Kikatiba kupinga baadhi ya vipengele katika Sheria ya Makosa ya Mitandao. Vipengele vinavyopigwa ni kifungu cha 4, 5 na 45 (4) cha Sheria ya Makosa ya Mitandaoni ambacho kinazuia haki ya kupata na kutoa taarifa ambacho kinakinzana na Ibara ya 18 ya Katiba...

 

10 years ago

Habarileo

Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya Makosa ya Mitandao itawasadia wasanii

‘Hata uwe mrefu vipi huwezi kuiona kesho’, lakini laiti kama hilo lingewezekana basi ningeutafuta urefu kwa udi na uvumba ili niweze kuona jinsi hali itakavyokuwa kwenye mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

GPL

UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015

UTANGULIZI
Sheria hii ya Makosa ya Jinai kupitia Mtandao, 2015 ina mapungufu mengi. Mapungufu hayo yamebainika kuwa, kama sheria ikipita yanaweza kuifanya nchi ikawa ni kati nchi adui za matumizi ya mtandao wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano duniani. Watanzania wote wanatakiwa kufahamu kuwa muswada ukipita utatumika nchini kote yani Tanzania Bara na Visiwani. Watanzania walio wengi hawafahamu Sheria hii inawahusu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani