Wapinga Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni
Fidelis Butahe, Mwananchi
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD56Xe3wYMKfGRnUjdBiInEpZ8TFRxid6ur1bbbTdtAHF5EwTkPdLX1gET97KUwmnuaXnlBHBdj6Jk3U4j-61nIT/Kikwete.jpg)
MH. RAIS ASIPITISHE MUSWADA WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAONI, 2015
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Tamko la TBN kumuomba Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete asipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015
Tamko la Bloggers Tanzania.pdf by moblog
10 years ago
Bongo509 Apr
Je! unaujua muswada wa makosa ya mtandaoni 2015?
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yXgpAtYh824/default.jpg)
11 years ago
Ykileo26 Apr
BUNGE LINATEGEMEA KUWASILISHA BUNGENI MUSWADA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO.
Kupitishwa kwa miswada hiyo kuwa sheria kutapunguza hali ya kukithiri kwa matukio ya uhalifu wa kutumia mtandao, uvujaji wa taarifa za siri pamoja na upotevu wa haki miliki kutokana na kukosekana kwa sheria ya kudhibiti vitendo hivyo.
Miongoni mwa Miswada ya sheria itakayoandaliwa na Wizara hiyo ni pamoja na muswada...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Wanaharakati wapinga muswada wa mtandao
Na Adam Mkwepu Dar es Salaam
WADAU wa matumizi ya mtandao wametoa tamko la kuliomba Bunge lisipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao kuwa sheria, kwa kuwa unaingilia uhuru wa mawasiliano kwa wananchi.
Muswada huo unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi ya ushahidi wa kieletroniki.
Wadau hao, muswada huo haukuwekwa wazi hadi tarehe 29 Machi na ratiba inaonesha muswada...
10 years ago
Habarileo28 Apr
‘Muswada makosa ya mtandao utasainiwa’
IKULU imesema Rais Jakaya Kikwete atasaini Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015, kwa kuwa umepitia taratibu zote. Pia, Ikulu imesisitiza kuwa sheria hiyo ni nzuri na itadhibiti matumizi mabaya ya mtandao.
10 years ago
Mwananchi16 May
TZ-CERT kutambua makosa ya uhalifu wa mtandaoni