TZ-CERT kutambua makosa ya uhalifu wa mtandaoni
Dar es Salaam. Siku chache baada ya kupitishwa kwa sheria ya makosa ya uhalifu wa mtandao, mtambo wa kutambua makosa hayo wa TZ-CERT umezinduliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Apr
Je! unaujua muswada wa makosa ya mtandaoni 2015?
Wadau mbalimbali wameendelea kutathmini muswada wa mwaka 2015 uliopitishwa bungeni hivi karibuni kuhusu makosa ya mtandaoni. Kama Rais Jakaya Kikwete, Tanzania itakuwa imepata sheria hiyo kwa mara ya kwanza. Baada ya muswada huu kuwekwa hadharani, wadau mbalimbali wameendelea kuusoma na kujadili kwenye mitandao ya kijamii lakini jamii ya watu inayoshughulikia maendelezo ya taaluma katika teknolojia […]
10 years ago
Mwananchi31 Mar
10 years ago
GPL
MH. RAIS ASIPITISHE MUSWADA WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAONI, 2015
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho kikwete. TAARIFA KWA UMMA YA TBN KUMUOMBA Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni. Muswada wa sheria ya makosa ya...
11 years ago
Mwananchi14 Oct
Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha
Miaka mitano iliyopita uhalifu wa mtandaoni haukuwapo. Hakuna aliyefahamu madhara yake moja kwa moja, kwa kuwa matukio mengi yalikuwa yanatokea nchi za Ulaya na Marekani na kidogo Kenya.
11 years ago
Michuzi
NANE (8) MBARONI KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU MKOANI DODOMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu nane kwa makosa mbalimbali ya uhalifu kufuatia msako uliofanyika tarehe 01/04/2014 maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tukio la kwanza alikamatwa SIMON S/O MTUNDU, miaka 51, Kabila Mhehe, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kisisi Kata ya Kimagiyi Tarafa na Wilaya ya Mpwapwa, akimiliki silaha aina...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya
Mmishonari Gregory Dow, 61, amekiri kunyanyasa wasichana wadogo wanne katika makao ya mayatima alioanzisha mwenyewe.
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Tamko la TBN kumuomba Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete asipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015
Tamko la Bloggers Tanzania.pdf by moblog
11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...
5 years ago
Michuzi
MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA
Charles James, Globu ya Jamii
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania