Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha
Miaka mitano iliyopita uhalifu wa mtandaoni haukuwapo. Hakuna aliyefahamu madhara yake moja kwa moja, kwa kuwa matukio mengi yalikuwa yanatokea nchi za Ulaya na Marekani na kidogo Kenya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09UucIyvyvl7wLjB-REgOAZWlv7QaNlnryUxVqD2mPPU7n0wNi7AQ876Fjo9UW*T0e1Cho61VJqSHaG63Li3H-KO/2.jpg)
NJEMBA ANASWA WIZI WA FEDHA ZA MTANDAONI
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Changamoto za miamala ya fedha kwa njia ya mtandao- 2
10 years ago
Mwananchi16 May
TZ-CERT kutambua makosa ya uhalifu wa mtandaoni
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Wengi walia na wizi wa mtandaoni
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane
KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Shirika kupambana na wizi mtandaoni
SHIRIKA linaloshughulikia usalama mitandaoni, Cyber Security and Digital Forensics Investigation Expert, limeeleza kuunganisha nguvu na polisi wa visiwa vya Falme ya Solomon, ili kupambana na wizi wa mtandaoni. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Teknolojia na uhalifu Wizi wa kimtandao unavyoshamiri duniani
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Fedha chafu zinachochea uhalifu — Silima
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, amesema uwepo wa fedha chafu nchini umechangia kuendelea kukua kwa uhalifu. Kwa mujibu wa naibu waziri huyo, matendo hayo ya uhalifu...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kortini kwa wizi, utakatishaji fedha
NA FURAHA OMARY
MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Telesphory Gura (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kumwibia mwajiri wake sh. milioni 241 na kutakatisha fedha haramu.
Gura, mkazi wa Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi.
Wakili wa Serikali, Genes Tesha, alimsomea Gura mashitaka matano ya wizi wa sh. 241,163,668 na ya kutakatisha fedha zaidi ya sh....