Wengi walia na wizi wa mtandaoni
Imetolewa hadhari juu ya kukithiri kwa vitendo vya wizi wa fedha kupitia mitandao ambao umesababisha hasara kubwa kwa taasisi za fedha, kampuni na hata watu binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Shirika kupambana na wizi mtandaoni
SHIRIKA linaloshughulikia usalama mitandaoni, Cyber Security and Digital Forensics Investigation Expert, limeeleza kuunganisha nguvu na polisi wa visiwa vya Falme ya Solomon, ili kupambana na wizi wa mtandaoni. Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane
KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...
10 years ago
GPL
NJEMBA ANASWA WIZI WA FEDHA ZA MTANDAONI
11 years ago
Mwananchi14 Oct
Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Zitto Kabwe aongoza kwa wafuasi wengi mtandaoni
10 years ago
Bongo Movies14 Oct
Matangazo mtandaoni: Mbinu mpya ya kuwafikia wateja wengi zaidi
Kwa wiki nne mfululizo tumekuwa tukikuwekea hapa baadhi ya Makala kuhusiana na simu ya Huawei Y360 inayouzwa kwa ushirikiano kati ya makampuni nguli ya mawasiliano nchini, Tigon a Huawei.
Sababu kubwa ya kuweka Makala hizo, tulikuwa tukifuatilia aina mpya ya kufanya matangazo ambayo inatumika. Makampuni haya yamekua yakitumia kurasa za Facebook, Twitter, Blogs na mitandao mingine mingi kuwafikia watu wengi zaidi.
Mpaka sasa Huawei Y360 kupitia njia hii imewafikia watu wengi zaidi? Jibu ni...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI